hizo kazi zina wenyewe, wengine ni wajaza takwimu tu, kama ni mmoja wao basi kazi anayo
Kwa nini asienda hapo hapo akajaribu kuongea na mapokezi kuna kuaga na vipeperushi vongi tu i think they can be helpful!!! karibu kitimoto hapa mwenge
ulululuuu......mwenge sehemu gani?
Uchokozi huo sasa
ulululuuu......mwenge sehemu gani?
wadau kuna ndugu yangu ana interview tarehe 30 TRA na anataka kujua customs zote za TRA.
Msaada please anaeweza kum-mention please help!
Ame google lakini hakuna chochote tunacho ona.
kaka mbona unataka kuanzisha darasa....!! eheee..!! unataka kujua nini haswa be specific cos TRA hawawezi kukuuliza maswali ka upo shule unasoma taxation bwana.[/QUOT]
hii je itakusaidia
vituo vya Forodha vya Namanga, Sirari, Tunduma, Kasumulu, Isaka, Horohoro, KIA, DIA, Tarakea, Holili, Bandari Mwanza, Bandari Tanga na Bandari DSM