Msaada tafadhali: Biashara ya pembejeo za kilimo

Chigwiyemisi

JF-Expert Member
Jun 22, 2011
531
225
Wadau habari zenu.
Niko Arusha, nataka kufanya biashara ya viwatilifu/pembejeo za kilimo. Naomba msaada kwa anayejua Suppliers na mbinu za hii biashara. Mtaji ni mdogo kwa hiyo sio biashara kubwa kivilee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom