Eternal_Life
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 812
- 1,672
Wakuu nina mdogo wangu wa kiume, amemaliza form 4 2016, kwa bahati mbaya matokeo yake hayakuwa mazuri na yanatia aibu sana(D tatu na C moja). Sasa dogo kazunguka na maisha ya mtaani kwa mwaka na kitu sasa.
Jana amekuja kwangu na kuniambia anaona maisha yamekuwa magumu sana na anataka kurudi shule asome (siyo kurudia form). Mimi niko tayari kumsaidia kurudi shule, tatizo linakuja sijui wapi pa kuanzia na hayo matokea yake ya form form.
Tafadhali mwenye kujua ninaweza kumpeleka chuo gani labda akaanza level ipi ili hatimaye apate nafasi ya kujiunga diploma na hatimaye degree.
Nawasilisha.
Jana amekuja kwangu na kuniambia anaona maisha yamekuwa magumu sana na anataka kurudi shule asome (siyo kurudia form). Mimi niko tayari kumsaidia kurudi shule, tatizo linakuja sijui wapi pa kuanzia na hayo matokea yake ya form form.
Tafadhali mwenye kujua ninaweza kumpeleka chuo gani labda akaanza level ipi ili hatimaye apate nafasi ya kujiunga diploma na hatimaye degree.
Nawasilisha.