Msaada swali la hisabati

The Boldly

JF-Expert Member
May 21, 2017
2,377
5,147
Alpha alikula 1/4 ya mchele wake, kisha aliuza 1/3 ya mchele uliobaki.ikiwa alibakiwa na kg 60.Tafuta kg alizokuwa nazo.

Cc Mwifwa
 
Haters watasema sina kazi...i know

20200207_144104.jpg
 
Nataka chato😅

No.. you could be right Ila approach uliyotumia kwenye case 'ya kilichobaki'

1/3 of 60 😥

Hahahah

Nimetumia njia rahisi inayoeleweka sanaa...mchele ulikuwa 120 kilos

Akala robo ya mchele(1/4) ambayo inakuwa robo times kilos zote ambayo inakuwa 30
Akauza theluthi(1/3) ya kilichobaki(kupata kilichobaki unachukua kilos zote (120) unatoa alizokula (30) unapata 90(kilochobaki) times 1/3 unapata 30
Kwenye swali anasema kilichobaki ni 60 kilos so inabalance kabisa

Alichokula(30)+Alichouza(30)+Kilichobaki(60)=120 kilos
 
Hahahah

Nimetumia njia rahisi inayoeleweka sanaa...mchele ulikuwa 120 kilos

Akala robo ya mchele(1/4) ambayo inakuwa robo times kilos zote ambayo inakuwa 30
Akauza theluthi(1/3) ya kilichobaki(kupata kilichobaki unachukua kilos zote (120) unatoa alizokula (30) unapata 90(kilochobaki) times 1/3 unapata 30
Kwenye swali anasema kilichobaki ni 60 kilos so inabalance kabisa

Alichokula(30)+Alichouza(30)+Kilichobaki(60)=120 kilos
Qualitatively 👏😅
 
Alpha alikula 1/4 ya mchele wake, kisha aliuza 1/3 ya mchele uliobaki.ikiwa alibakiwa na kg 60.Tafuta kg alizokuwa nazo.

Cc Mwifwa

Njia.
Fikiria Y iwe ni jumla ya Kg za mchele alizo kuwa nazo Alpha

Mchele alio kula=1/4 ya Y=1/4xY=1/4Y

Mchele alio uza=1/3 ya mchele uliobaki
Lakini Mchele uliobaki baada ya kula=Jumla ya mchele-Mchele alio kula =Y-1/4Y=3/4Y
Kwa hiyo,
Mchele alio uza=1/3 ya 3/4Y =1/3x3/4Y
Mchele aliouza= (1x3)/(3x4)Y=3/12Y=1/4Y

Jumla ya mchele wote=Mchele alio kula+Mchele alio uza + Mchele alio baki nao
Y=1/4Y+1/4Y+60
Zidisha na 4 kila upande
4Y=Y+Y+240
4Y=2Y+240
4Y-2Y=240
2Y=240
Y=120

Kwa hiyo Alpha alikua na Kg 120 za mchele
 
Njia.
Fikiria Y iwe ni jumla ya Kg za mchele alizo kuwa nazo Alpha

Mchele alio kula=1/4 ya Y=1/4xY=1/4Y

Mchele alio uza=1/3 ya mchele uliobaki
Lakini Mchele uliobaki baada ya kula=Jumla ya mchele-Mchele alio kula =Y-1/4Y=3/4Y
Kwa hiyo,
Mchele alio uza=1/3 ya 3/4Y =1/3x3/4Y
Mchele aliouza= (1x3)/(3x4)Y=3/12Y=1/4Y

Jumla ya mchele wote=Mchele alio kula+Mchele alio uza + Mchele alio baki nao
Y=1/4Y+1/4Y+60
Zidisha na 4 kila upande
4Y=Y+Y+240
4Y=2Y+240
4Y-2Y=240
2Y=240
Y=120

Kwa hiyo Alpha alikua na Kg 120 za mchele
Kufundisha ni kipaji changu,
 
Back
Top Bottom