BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,111
Habari ndugu
Jana kwa mara ya kwanza nimepost ads kwa kutumia computer, tangazo linahusu Saluni yangu na huduma zinazopatikana
Yaani reach 0, impressions 0, frequency 0, spent $0
Na pesa kwenye akaunti haijapungua bado inasoma
Msaada wapi nakosea wadau
Jana kwa mara ya kwanza nimepost ads kwa kutumia computer, tangazo linahusu Saluni yangu na huduma zinazopatikana
- Nikaweka objective ya message
- Nikaset audience fresh
- Nikaweka placement ya Instagram feed
- Nikapublish report ikasoma tangazo lipo active
- Shida performance inasoma zero hadi sasa
Yaani reach 0, impressions 0, frequency 0, spent $0
Na pesa kwenye akaunti haijapungua bado inasoma
Msaada wapi nakosea wadau