Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,115
- 1,300
Habari ndg zangu wana jf?
Mimi ni mkulima mdogo lakini pia ninafanya biashara tofauti tofauti,katika kujipanua zaidi nina mpango wa kuanza biashara ya kununua mahindi kutoka kwa wakulima na kuyauza sehemu zenye soko zuri linalolipa,
Hivyo ningependa wenye uelewa na biashara hii pamoja na soko lake wanijuze,
Tusaidiane ndg zangu,
Nawasilisha.
Mimi ni mkulima mdogo lakini pia ninafanya biashara tofauti tofauti,katika kujipanua zaidi nina mpango wa kuanza biashara ya kununua mahindi kutoka kwa wakulima na kuyauza sehemu zenye soko zuri linalolipa,
Hivyo ningependa wenye uelewa na biashara hii pamoja na soko lake wanijuze,
Tusaidiane ndg zangu,
Nawasilisha.