Msaada: Soko la kanga (guinea fowl)

popiexo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
742
182
Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze.
 
Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze.

Hawa jamaa wenye mabanda ya kuuzia kuku kienyeji kama pale breakpoint au ukonga wananunua

je unayo Mayai ya kanga?
 
Nahitaji mayai ya kanga mkuu, unayo na unauza bei gani. Je kanga unauza bei gani? Nahitaji kuanza kufuga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom