popiexo JF-Expert Member Oct 26, 2010 742 182 Jul 10, 2014 #1 Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze.
Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze.
bluetooth JF-Expert Member Jan 12, 2011 4,402 2,550 Jul 10, 2014 #2 popiexo said: Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze. Click to expand... Hawa jamaa wenye mabanda ya kuuzia kuku kienyeji kama pale breakpoint au ukonga wananunua je unayo Mayai ya kanga?
popiexo said: Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze. Click to expand... Hawa jamaa wenye mabanda ya kuuzia kuku kienyeji kama pale breakpoint au ukonga wananunua je unayo Mayai ya kanga?
popiexo JF-Expert Member Oct 26, 2010 742 182 Jul 10, 2014 Thread starter #3 bluetooth said: Hawa jamaa wenye mabanda ya kuuzia kuku kienyeji kama pale breakpoint au ukonga wananunua je unayo Mayai ya kanga? Click to expand... Vipi bei yao kwa Kanga wakubwa.
bluetooth said: Hawa jamaa wenye mabanda ya kuuzia kuku kienyeji kama pale breakpoint au ukonga wananunua je unayo Mayai ya kanga? Click to expand... Vipi bei yao kwa Kanga wakubwa.
mwidiwe Member Jul 22, 2014 19 4 Jul 28, 2014 #4 Nahitaji mayai ya kanga mkuu, unayo na unauza bei gani. Je kanga unauza bei gani? Nahitaji kuanza kufuga.
Nahitaji mayai ya kanga mkuu, unayo na unauza bei gani. Je kanga unauza bei gani? Nahitaji kuanza kufuga.