Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Foxhound

JF-Expert Member
Dec 15, 2013
28,044
74,448
1581666059770.png


BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Habari wanaJf?

Hii ni kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana. Amenisimulia kuwa alianza kufanya mchezo huo tangu yupo darasa la saba hiyo ikiwa mwaka 2000, alisema alianzia kwa kufanya mara moja kwa siku hadi ikafikia kipindi siku kwake ikawa haiwezi kupita bila kufanya.

Baadae ikawa anafanya hadi mara tatu kwa siku kitendo ambacho anasema kilikuwa kikimtesa sana kwani ilikuwa kwake ni lazima afanye ili akili yake ikae sawa lasivyo siku hiyo hatokuwa vizuri (huwa kama anaumwa).

Kwa sasa tayari ana mke na mtoto lakini ameshindwa kuacha licha ya kufundishwa njia mbalimbali kama kutazama mpira, wrestling, kutumia vidonge vya kupunguza ge.nye, kupaka pili pili kiganjani, kujichanganya na watu n.k.

Anaomba ushauri wenu ili aweze kuachana na hali hiyo.
---
Tatizo la punyeto limekuwa ni tatizo la muda mrefu la vijana wengi na wengi kwa namna moja au nyingine wameshindwa kuacha ingawaje wengi wanachukia sana kitendo hicho.

Mbaya zaidi wengi wanapiga punyeto halafu vyakula wanavyokula havina ubora na vinazidi kudidimiza nguvu zao za kiume.

Katika uzi huu tutajaribu kuangalia mzizi wa tatizo (nini kinapelekea watu wapige punyeto) ,kwa nini ukiingia huwezi kuacha, je tangu uanze kujichua umenufaika kwa mangapi na umesababisha kuharibu system ya maisha yako kwa kiasi gani, namna ya kuliondoa tatizo(kuacha kujichua) namna ya kurudisha nguvu za kiume zilizopotea kipindi chote cha kujichua


Karibuni mtiririke
---
Salaam wazee wenzangu,

Rejea mada tajwaMMwenzenu nlianza kupiga puli/Punyeto 2003. Kuna wakati naacha Ila inafika kipindi natamani kupiga tena.

NIna mademu na napiga show ya nguvu ioa baada ya muda napiga puli
So nimeamua niache ila sijui nitumie dawa gani ambayo itanisaidia moja Kwa moja kuacha hii Punyeto jamanii msaada please.
---
Habari za mda huu wakuu,

Poleni na majukumu ya kujega taifa letu ili, naomba mnishauri ndugu yenu namna ya kuachana huu utumwa.

Huu ni mwaka wangu wa 9 napiga puchu imenikaa kwenye akili kabisa imekua ngumu kuacha, jana ndo mara ya mwisho kupiga, viungio vya mikono na miguu vinauma kwa sababu hii, nnapoelekea ntashindwa kabisa kupiga mechi, sasaivi nikijitaidi sana ni bao mbili, kama nikilala na mwanamke basi bao tatu kwa tabu sana, kinachoniokoa kwenye mechi ni kila bao moja natumia atleast dk 35 laa sivyo ningekua na aibika sana.

Naombeni ushaur wenu

Sent using Jamii Forums mobile app

UFAFANUZI NA USHAURI WA KITAALAMU KUHUSU TATIZO HILI
KUJICHUA NI NINI HASA?
Kwa Kiingereza tendo hili linaitwa ‘’ likiwa na maana ya kupiga punyeto. Hapa nimetumia kwa ulaini kabisa; kujichua. Lugha nyepesi na rahisi kufikika kwa wengi ni kujiridhisha! Ni kitendo cha mtu kujichezea kimahaba huku akivuta hisia za mapenzi kwa mtu ambaye yupo mbali naye hadi anapomaliza haja zake.

Namna ya ufanywaji inategemea zaidi na jinsi ya mazoea. Wapo wanaotumia vifaa bandia (artificial) na wengine vifaa halisi kama aina mbalimbali za matunda ambazo zinafanana na sehemu pacha!

Wengine wanatumia njia wanazojua wenyewe, lakini wanaume wengi wanatumia sabuni lengo hapa ni moja tu, unatakiwa kufahamu kwamba namaanisha kujiridhisha.

INAWEZEKANAJE KUJIRIDHISHA?
Ni rahisi sana kumaliza tendo la huba kwa kujifanyisha mwenyewe. Silaha kubwa inayotumiwa na waathirika ni kuwavutia hisia watu wa jinsi pacha wakati tendo husika likiendelea kufanyika.

Habari mbaya kwa watu wenye mchezo huu ni kwamba, kwanza wakishaanza, inakuwa vigumu sana kuacha. Inashindikana kwa sababu ni jambo la aibu. Si rahisi kupata ushauri kutoka kwa watu maana ni aibu pia kumweleza rafiki yako juu ya mchezo huo.

Kutokana na hilo sasa, kinachotokea ni kwamba ‘waumini’ wa mchezo huu wanaendelea kuwa watumwa kwa maisha yao yote. Hapa chini tutaona kwa undani jinsi tatizo hili linavyoumiza vichwa vya wengi.

Ni kweli hutaki kuwa mtumwa wa mchezo huu hatari? Zipo athari nyingi sana rafiki yangu ambazo nitazieleza hapa chini.

CHANZO NI NINI HASA?
Jambo la kushangaza ni kwamba, hakuna mdau wa mchezo huo ambaye amefundishwa jinsi unavyofanywa. Wengi wameanza wenyewe, tena wengine bila kujua nini kitakachotokea, lakini baada ya matokeo kuonekana, ndiyo mwanzo wa kutopea huko.

Kwa vijana wa kiume, wengi huanza tabia hii wakiwa kwenye umri wa kubalehe. Mara nyingi hutokea asubuhi wakati wa kuamka, usiku wakati wa kulala au bafuni wakati wa kuoga.

Kwa kawaida, mtu anapokuwa katika sehemu ya utulivu kwa maana ya kupumzika, wakati mwingine mkono unaweza kutembea huku na huko kwenye mwili na mwisho wake bila kutegemea mhusika anajikuta ameshaingia kwenye mchezo huo.

Huwa kama mzaha, akiwa hajui hatma yake, lakini msisimko anaoupata ndiyo unaomchanganya na mwisho wake anashangaa kila kitu kimemalizika. Unajua atakachosema? Sikia: “Mh! Kumbe ndiyo mwisho wake ni hivi? Lakini kama nimesikia starehe hivi…”
Hiyo hutokea pia wakati wa kuoga, ambapo wakati wa kujisugua kwa dodoki, msisimko ukitokea, madhara yanakuwa kama nilivyoeleza hapo juu.

Wenye umri mkubwa au wa kati, huanza tabia hii hasa baada ya kuanza mchezo wa kuangalia video za kikubwa wakiwa peke yao. Kwa sababu wanachotazama kinahusisha msisimko wa mapenzi, basi bila kutarajia hujikuta tayari!
Hii inafanana pia na kwa watoto wa kike, vyanzo nilivyoeleza hapo juu pia husababisha kwa karibu sana.

Sababu nyingine ni kunyimwa au kutotoshelezwa kimahaba na mwenzake.Wengi imewagusa, lakini kuna makundi mawili; wapo waathirika ambao wanatamani kuachana na utumwa huu na wengine wameathirika zaidi, kiasi kwamba hawana mpango wa kuacha.

Wengine wameenda mbali zaidi, kwa vile hawafikirii kuachana na mchezo huu, wamefikia hatua wanasema kwamba hakuna madhara kwa mtu anayejichua! Watu wanatetea wazi wazi, kwamba kujichua hakuna madhara. Sikia rafiki yangu, hata anayevuta sigara anajua kwamba ina madhara kwa afya yake, lakini ili kujifariji, atajenga hoja kwamba, haimdhuru na badala yake inamsaidia sana kuondoa baridi na haina kilevi.

Wakati mvuta sigara akisema hivyo, mlevi naye atakuja na hoja kwamba, pombe inamsaidia sana kupunguza mawazo. Kila mmoja atatetea upande wake. Ni jambo la kawaida kabisa.

Nikiwa naelekea kuendelea na mada yetu, rafiki yangu mpendwa kama wewe ni ‘muumini’ wa tabia hiyo, unatakiwa kufahamu kwamba unafanya jambo HATARI sana, si tu kwa afya yako, kisaikolojia na dhambi ya uzinifu ambayo hiyo itatokana na uhusiano wako mwema na imani ya dini yako, NDOA yako ipo/itakuwa hatarini.

Nadhani mnakumbuka wiki iliyopita nilieleza maana ya kujichua, namna tendo linavyofanyika na jinsi mtu anavyoanza mchezo huo bila kutegemea. Sasa rafiki, hebu tuendelee kwenye namna tatizo linavyokua.

UKUAJI WA TATIZO
Mwathirika akishazoea, hufanya tendo hilo kama sehemu ya maisha yake. Alianza bila kujua matokeo yake, lakini sasa amejikuta akianza kuupenda na idadi ya ufanywaji wa tendo huanza kupanda, baada ya siku tatu, siku mbili, kila siku na hatimaye kwa siku zaidi ya mara moja.

“Kaka Shaluwa, najichukia sana, yaani nimekuwa mtumwa kabisa wa kufanya huu ujinga.

Kwa siku nafanya mara mbili au zaidi, lakini si chini ya hapo,” alisema rafiki mmoja, aliyenipigia simu baada ya kusoma sehemu ya kwanza ya mada hii wiki iliyopita.

Ukweli ni kwamba, mfanyaji kwa vile ameshapata ‘mteremko’ wa kutimiza haja zake, kwanza ataanza kuwadharau wanawake/wanaume, kwamba hawawezi kumtisha, kwa sababu ana njia za kujifurahisha mwenyewe.

Pili, hufikia hatua ya kuwachukia watu wa jinsia pacha, akiwaona kama ‘wanaringa’ hasa kama atakuwa amemshawishi kimapenzi na kukatawaliwa.

ATHARI ZAKE
Zipo athari nyingi sana ambazo mwathirika anaweza kuzipata kwa kuendekeza mchezo huu. Hapa nataka nizungumze kwa herufi kubwa kabisa kwamba, ndugu zangu usidanganyike kwamba hakuna madhara kwa kufanya mchezo huu.

Yapo MADHARA makubwa sana ambayo yanapatikana kwa mchezo huo. Achana na propaganda za mitaani, zenye utafiti hewa.

Sikia nikuambie rafiki yangu, hasa wewe ambaye unafanya mchezo huo. Upo kwenye hatari kubwa ya kushindwa kufurahia mapenzi, kwa vile mazoea ya kiungo siri chako ni kwenye vitu ‘artificial’ zaidi ya ‘natural’.

Mwanaume aliyezoea kujiridhisha mwenyewe, akikutana na mwanamke, hana muda mrefu sana, kila kitu kinamalizika.

Siyo hivyo tu, uwezo wa kurudia tendo unakuwa mdogo au unakosekana kabisa. Kinachotokea ni kwamba, kiungo siri chake kinakuwa kimeshazoea, aina nyingine ya ‘hali ya hewa’ hivyo kinapokutana na sehemu siri za kike, ambazo ni laini na zenye ute mwepesi, inakuwa rahisi kumaliza ‘biashara’ mapema wakati wateja bado wanahitaji!

Kiungo siri cha mwanaume huwa kigumu, hivyo kusababisha maumivu kwa mwanamke kutokana na sugu aliyoitengeneza bila kujua. Kwa kawaida viungo siri vyote ni laini sana na vinatakiwa kubaki katika hali hiyo ili kuleta msisimko wenye usawa.

Mazoea yoyote tofauti na yale ambayo yanatakiwa hupunguza msisiko na kusababisha mmoja wa washiriki wa tendo la ndoa kubaki na kiu na mwenzake.

“Najuta kuufahamu huu mchezo, kila siku ninapokutana na mume wangu, ananiacha nikiwa sijatosheka. Kiukweli tangu amenioa, sijawahi kufurahia tendo la ndoa. Nilianza huu mchezo zamani sana, tangu nikiwa kidato cha tano.

“Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nakaa naye bweni moja alinifundisha. Sikujua kama madhara yake ni makubwa kiasi hiki. Ilikuwa ni shule ya wasichana tupu, kwa hiyo akanidanganya kwamba tuachane na wanaume tujichue…kumbe alikuwa ananisaga!” hii ni sehemu ya ushuhuda mwingine wa mchezo huo.

Athari nyingi ambayo mtu anaweza kuipata kwa kujichua ni kumaliza ‘kazi’ mwenyewe bila hata kwenda kazini. Akipita mtu wa jinsi pacha, ambaye ana mvuto, kazi inaishia hapo hapo!

UPO KUNDI GANI?
Uko wapi rafiki yangu? Nazungumza na wewe ambaye unafanya mchezo huo, bado unataka kuendelea nao au unatamani kuacha? Shika maneno yangu, kwamba ni HATARI kujichua, halafu weka nia ya kutaka kuacha huu utumwa, kisha vuta subira hadi wiki ijayo katika sehemu ya mwisho ambayo haitaacha kitu.

MFADHAIKO
Mtu ambaye anaendekeza kazi hii, hupata mfadhaiko. Anayepata mfadhaiko, huwa mwepesi sana wa kuwa na matamanio kwa jinsia ya upande wa pili.

Si ajabu mtu mwenye mchezo huo, kutembelea akimwangalia mwanamke kuanzia Magomeni hadi Manzese! Amefadhaika. Ameshazoea kumaliza kazi nzima akiwa peke yake, kwa hiyo raha yake inabaki kuwa katika picha tu na si kitu halisi.

Macho yanakuwa juju juu, si kwa kupenda, ni kwa sababu tayari ameshaathiriwa na tatizo hilo. akitoka hapo, ujue moja kwa moja faragha, anaanza mambo yake. Kelele nyingi, kumbe yupo peke yake!

Mfadhaiko hauishii hapo, hata akiwa kwenye vyombo vya usafiri au mkusanyiko wa watu, mwathirika huweza kumaliza ‘kazi’ kwa macho tu, tena wakati mwingine bila kuwa na taarifa. Anakuja kugungua baadaye sana, kwamba kumbe kila kitu kilishafanyika bila hiyari yake.

KUSHINDWA TENDO LA KAWAIDA
Mwenye mchezo huo, pamoja na uhodari wake wa kujifurahisha akiwa peke yake, anapokutana na mwenzi wake faragha, kazi inakuwa si ya kiwango cha kuridhisha. Kuna athari nyingi ambazo hujitokeza.

Kwanza, anakosa ujasiri, hayupo tayari kuandaliwa, kumuandaa mwenzake. Kishazoea kufanya kila kitu haraka haraka, tena kwa kutumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa tukio lenyewe.

Anakuwa goigoi, anachelewa kuwa tayari, hata akiwa tayari anafika safarini mapema zaidi. Mbaya zaidi, akifika hawezi kuanza safari nyingine. Hata kama akianza, kuna uwezekano mkubwa wa kuishia njiani.

Baadhi yao, hubaki wakiwa baada ya wahusika wao kuwagomea katikati ya safari. Zipo athari nyingi zaidi ya hizo, kutegemea na namna tatizo lilivyokomaa na aina ya jinsia.

KUFEDHEHEKA
Baada ya hayo hapo juu kujitokeza kwenye ndoa/uhusiano wa mwathirika, kinachofuata sasa inakuwa ni kufedheheka. Kwa bahati mbaya sana, unaweza kufanya siri mchezo wako, lakini athari zikawa wazi kwa mwenzako.

Hata kama hatagundua chanzo cha tatizo, lakini atagundua kwamba huna msisimko, huwezi kazi au vyovyote vile. Wengi husema kwa hisia, humaanisha kwamba hakuna wanachopata kutoka kwa wenzao, lakini mambo yakizidi kuwa hovyo, wanafunguka: “Mwenzangu kila siku unaniacha na kiu, una tatizo gani?”

Kauli hiyo rafiki yangu, inatosha kabisa kukufanya ushindwe kazi moja kwa moja. Unajua nini? Utaanza kuwaza: “Kumbe siwezi kitu…halafu mwenzangu ameshagundua. Nitafanyaje mimi? Mbona nahadhirika?”

Ndugu yangu, ikifikia hapo utakuwa unamkimbia mwenzako na kwenda chemba kumaliza biashara zako mwenyewe. Furaha ya moyo itatokea wapi? Kama ndiyo mnaishi kinyumba au mpo ndani ya ndoa ndiyo kabisaaa!
Umeona kazi hiyo?

UNATAKA KUACHA?
Hakuwa dawa kubwa sana ya kuacha mchezo huu. Najua wengi walikuwa na hamu ya kutaka kusikia, wataachaje huu mchezo. Ndugu zangu.Usitarajie kwamba nitakuja kuingia kwenye nafsi yako na kukuambia ACHA KUJICHUA! Ndugu zangu, nitawapa dondoo chache sana, lakini kubwa ni kwamba ATHARI nilizotaja hapo juu zinatosha kabisa kukubadilisha!

Hebu nikuulize, utakuwa na hamu ya kuendelea na haya mambo kama ndoa yako itakuwa hatarini? Nani atakubali kufedheheka? Nani atakubali kupoteza heshima yake? Bila shaka hakuna. Pitia dondoo zifuatazo;

(i) Badilisha utaratibu wa kulala, lala kifudifudi, badala ya chali (rejea maelezo yangu ya awali kuhusu chanzo cha tatizo)
(ii) Acha kuangalia mikanda ya kikubwa ukiwa peke yako.
(iii) Kaa mbali na simulizi zinazohamasisha mapenzi, mazungumzo ya aina hiyo na kampani za watu wanaopenda kusimulia mambo ya faragha.

(iv) Acha mazoea ya kujishika sehemu zako za siri.
(v) Fanya mazoezi ya viungo angalau robo saa tu kwa siku.
(vi) Juu ya yote haya, FUTA kabisa mawazo ya jambo hilo. AMUA kwa dhati ya moyo wako, tambua na ogopa athari ambazo unaweza kuzipata, kisha ACHA KABISA mchezo huo ili kulinda heshima yako na kujipa furaha ya maisha

BAADHI YA MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU:
Kwanza pole sana ndugu, na usijihisi mnyonge maana kati ya watu 20 waliokomenti hapa yawezekana asioatikane hata mmoja ambaye hsjajilipua, even akina dada.

Selfie imekuwa ni tatizo sugu la wanaume wengi, hata waliopo kwenye ndoa hujikuta wakipiga kabla yakukutana na mwenza wake au hata muda mchache baada yakukuta kimwili!

Nini kifanyike ili uweze kuacha?

Jiweke busy na kazi, fanya kazi za mikono, jisomee magazeti, tizama mpira, acha kuangalia movie zenye ngono ndani yake, acha kabisa kutembelea blogs na websites za video za ngono.
Pia usichati na mwanamke kuhusu ngono kama haupo karibu nae ili ashiki ikikukamata mfanye.

Sali au Swali sana Mungu atakusaidia.

Mwisho kumbuka Selfie hukupatia raha ya dk 5 kati ya masaa 24 ya siku, kwamaana nyingine utakuwa nahasira na msongo wa mawazo kws masaa 23 na dk 45 ,mara baada ya kujifyatua.

Selfie huleta raha kwa muda mfupi ila ina madhara mengi sana ambayo ukiyatafakari kwa kina ndonga ni lazima ilale usingizi, tazama madhara ya Selfie

1. Majuto na Msongo wa mawazo mara tuu baada ya wazungu kutoka

2. Nguvu nyingi kupotea mwilinj (ukijilipua mara moja nguvu unazopoteza mwilini ni sawa na mtu aliyekimbia kwa kasi km 7 bila kupumzika)

3. Hufifisha uwezo wa kufikiri, husababisha ubongo kupoteza kumbukumbu na kusahau mara kwa mara, mfano kushika simu na mkono wa kushoto huku ulitumia mkono wa kulia kuitafuta hadi chini ya kitanda wakati mwingine unaweza hata kuazima simu ya mtu kubeep simu yako uliyoishikilia kwa mkono wa kushoto!

4. Misuli ya kiuno na ya uume kulegee hivyo kukufanya kukosa nguvu za kiume au kuwa na uwezo mdogo wakusimamisha, yaani uume husimama hali ukiwa legelege kiasi hata cha kondomu kushindwa kuvalika, acha tuu kumridhisha mwanamke!

Kujilipua husababisha ndonga kuwa na hisia kali na za haraka unapokuwa na mwanamke chumbani, yaani kitendo cha kumtomasa mwanamke unajikuta ushajikojolea, hii inaleta karaha na fadhaa sana, hivyo kupelekea kushindwa kumridhisha mwanamke kingono. Hii itakufanya ujiskie hovyo na hata kuogopa kuwa na mwanamke ukihofia aibu iliyowahi kukuta ulipokuwa na salome wako.

5. Mwisho Selfie huvunja vunja na kuua viungo vya mwili na dalili zake,nutaskia kelee (mf. Tasuu) kwenye magoti na viwiko vya mikono, sana sana magotini!

Fikiria zaidi hayo madhara utaacha kabisa kujichua kama ulivyoacha maziwa kwa mama yako.

Mwandishi wa makala haya, ni Mwalimu wa Biolojia kutoka chuo kikuu cha Finland,( University of Finland) na pia ni mtaalamu wa Maswala ya Afya ya uzazi!
---
its not simple kaka but kama unania kweli ya kuacha fanya yafuatayo:

01:Acha kuangalia video,picha za ngono (porn)

02:achana na stories za ngono sababu hizo zinachangia sana

03;epuka kukaa mwenyewe kwa muda mrefu penda kukaa na company na io company muwe mnazungumzia issue zingine.

04:usikae bila kufanya kazi (kuwa-busy) kila muda jishuhulishe NB fanya mazoez sana hasa nyakati za jion inakata kiu sana sabab viungo vinachoka.

05:ikitokea umefanya yote na bahat mbaya ukajikuta umerudia usikate tamaa maana ningumu kuacha mara moja endelea na hiyo dozi.

06:usi-ruhusu mawazo yako kuwaza wanawake au ngono ikiwezekana usipende kujichanganya na wanawake sabab ukimuona mwanamke haswa wale wako sex utaanza ku-create image ya maungo yake yandani na hiyo itakua kichocheo.

07:mwisho kwa leo jiweke zaid kwenye dini kama wewe mkristo penda kusoma sana neno.mafundisho pia unaweza kumshirikisha kama ni pastor au Sheikh au muumin yoyote unamuamin akusaidie kiroho zaid.
---
Ocran,
Kuna point za uongo humo mtu akipiga punyeto kwa miaka tisa ni hanisi kabisa, kingine mpiga punyeto wa muda mrefu kupiga bao mbili ni hadithi, Tatu huwezi mwendo wa dk 35 kwa sababu hata watu ambao hawapigi wengi wao huku hawafikagi kila round dk 35ni uongo.

JINSI YA KUACHA
Tuliza akili ukijisomea hadithi makali au kucheza michezo mbalimbali

2. piga mazoezi ya kukimbia kwa umbali mrefu kila siku asubuhi

3. Oga maji ya moto kila siku jioni, kwa kuwa umepoteza sana protein nyingi kunywa maziwa kwa wingi hasa ya mtindi, tanga wizi mbichi tafuna, pia mayai ya kienyeji.

4. Tafuta company ya kuspend time

5. Tafuta msichana anayekuvutia mweleze hisia zako awe kama mpenzi wako na kama umeoa chukua muda mwingi wa huba na mkeo ili kuondoa mawazo yenye mvuto hasi.

Mwisho, tambua hiyo ni machukizo mbele za Mungu Baba.

Kila la heli Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
---
Ocran,
Kuna point za uongo humo mtu akipiga punyeto kwa miaka tisa ni hanisi kabisa, kingine mpiga punyeto wa muda mrefu kupiga bao mbili ni hadithi, Tatu huwezi mwendo wa dk 35 kwa sababu hata watu ambao hawapigi wengi wao huku hawafikagi kila round dk 35ni uongo.

JINSI YA KUACHA
Tuliza akili ukijisomea hadithi makali au kucheza michezo mbalimbali

2. piga mazoezi ya kukimbia kwa umbali mrefu kila siku asubuhi

3. Oga maji ya moto kila siku jioni, kwa kuwa umepoteza sana protein nyingi kunywa maziwa kwa wingi hasa ya mtindi, tanga wizi mbichi tafuna, pia mayai ya kienyeji.

4. Tafuta company ya kuspend time

5. Tafuta msichana anayekuvutia mweleze hisia zako awe kama mpenzi wako na kama umeoa chukua muda mwingi wa huba na mkeo ili kuondoa mawazo yenye mvuto hasi.

Mwisho, tambua hiyo ni machukizo mbele za Mungu Baba.

Kila la heli Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
---
Masturbation Q&A
There are many bizarre claims about masturbation, for example that it causes blindness, insanity, acne and even hair growth.

We sort fact from myth and answer your questions on what is arguably one of the most commonly practised sexual activities on the planet.

What is masturbation?
Masturbation involves sexually arousing yourself by touching your genitals. Both men and women can masturbate, and you can masturbate yourself or someone else.

Is masturbation normal?
Yes. Apart from the pleasure it gives, masturbating can help you learn what you like and don't like sexually. Men can also use masturbation to learn how to control their orgasms, while women can find out what helps them to achieve an orgasm. Many couples masturbate together and find it a very enjoyable part of their relationship. Other people don't and that's fine: it's a personal choice.

How do you masturbate?
There's no right or wrong way to masturbate. Men usually do it by rubbing their penis. Women usually touch and stroke their clitoris and the area around the vagina. The clitoris is a small soft bump in front of the entrance to the vagina. It's very sensitive, and touching and stimulating it can give strong feelings of sexual pleasure. Most women need the clitoris to be stimulated in order to have an orgasm during sex or masturbation.

What is ejaculation?
Ejaculation occurs when semen shoots out from the penis when a man has an orgasm. There is usually about 5ml of liquid, but there may be more, especially if a man hasn't ejaculated for some time. Women can also ejaculate fluid, but this is far less common than for men.

Yes. For the record, masturbating doesn't cause blindness, insanity, or acne and won't make hair grow on your palms. Joking aside, there's no risk of pregnancy or catching a sexually transmitted infection (STI) from masturbating on your own.

However, there is a risk of pregnancy with mutual masturbation if sperm is transferred to the vagina on your or your partner's fingers.

There is also a risk of catching an STI if you touch someone else's genitals and then touch your own. This is because STIs can be passed on through infected semen or vaginal fluid.There is a risk of infection if you use sex toys during masturbation and someone else with an STI has used them before you. Any object used in sex can be called a sex toy, whether it's designed for this use or not. It's important to keep sex toys clean. If you're sharing sex toys, wash them between each use and, where possible, put a new condom on them each time. Find out more about cleaning sex toys.

Can you injure yourself when masturbating?
You're unlikely to do yourself any harm, although there is a risk of soreness, cuts or bruising if you masturbate too roughly or too hard, or use an object that could hurt you or cause damage. Men sometimes worry about whether they could break the penis. This is rare and only happens when an erect penis is violently twisted, usually by somebody else. Find out more in Five penis facts.

Does masturbation affect sperm count?
Masturbating will not affect a man's ability to produce sperm. Men will not run out of sperm, as they produce it continuously. After a man has ejaculated, it will take some time before he can ejaculate again. This is normal and doesn't mean there is anything wrong with his sperm.

Can you masturbate too much?
Masturbation is harmless, but if you do it a lot your genitals may feel sore. If men do it a lot in a short space of time, they can get a slightly alarming looking swelling of the penis, called oedema, caused by fluid in the tissues. The swelling does disappear within a day or two. However, if you feel the need to masturbate is interfering with your everyday life, talking to a GP may help.

Source NHS UK Masturbation - Live Well - NHS Choices
---
Hebu niambie, umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? Najua unaona aibu, hasa kama una tabia hiyo.

Usiogope rafiki yangu, leo nitazungumza na wewe taratibu halafu mwisho kabisa nitakuacha na tabasamu la nguvu!

Ndugu zangu, wakati mwingine kuna mambo magumu kidogo ambayo baadhi ya watu wanayaonea aibu, lakini yanaendelea kuwa tatizo kwa watu wengi. Leo tutazungumza. Amini usiamini, asilimia 90 ya wanaofanya mchezo huo, hawapendi hata kidogo.

Kila wanapomaliza kujiridhisha huahidi kuacha, lakini baada ya saa kadhaa kupita, wanarudi kule kule. Kama una tabia hiyo, utakuwa unanielewa vizuri zaidi juu ya kile ninachokizungumzia hapa. Hebu twende tukaone.

KUJICHUA NI NINI HASA?
Kwa Kiingereza tendo hili linaitwa ‘’ likiwa na maana ya kupiga punyeto. Hapa nimetumia kwa ulaini kabisa; kujichua. Lugha nyepesi na rahisi kufikika kwa wengi ni kujiridhisha! Ni kitendo cha mtu kujichezea kimahaba huku akivuta hisia za mapenzi kwa mtu ambaye yupo mbali naye hadi anapomaliza haja zake.

Namna ya ufanywaji inategemea zaidi na jinsi ya mazoea. Wapo wanaotumia vifaa bandia (artificial) na wengine vifaa halisi kama aina mbalimbali za matunda ambazo zinafanana na sehemu pacha!

Wengine wanatumia njia wanazojua wenyewe, lakini wanaume wengi wanatumia sabuni lengo hapa ni moja tu, unatakiwa kufahamu kwamba namaanisha kujiridhisha.

INAWEZEKANAJE KUJIRIDHISHA?
Ni rahisi sana kumaliza tendo la huba kwa kujifanyisha mwenyewe. Silaha kubwa inayotumiwa na waathirika ni kuwavutia hisia watu wa jinsi pacha wakati tendo husika likiendelea kufanyika.

Habari mbaya kwa watu wenye mchezo huu ni kwamba, kwanza wakishaanza, inakuwa vigumu sana kuacha. Inashindikana kwa sababu ni jambo la aibu. Si rahisi kupata ushauri kutoka kwa watu maana ni aibu pia kumweleza rafiki yako juu ya mchezo huo.

Kutokana na hilo sasa, kinachotokea ni kwamba ‘waumini’ wa mchezo huu wanaendelea kuwa watumwa kwa maisha yao yote. Hapa chini tutaona kwa undani jinsi tatizo hili linavyoumiza vichwa vya wengi.

Ni kweli hutaki kuwa mtumwa wa mchezo huu hatari? Zipo athari nyingi sana rafiki yangu ambazo nitazieleza hapa chini.

CHANZO NI NINI HASA?
Jambo la kushangaza ni kwamba, hakuna mdau wa mchezo huo ambaye amefundishwa jinsi unavyofanywa. Wengi wameanza wenyewe, tena wengine bila kujua nini kitakachotokea, lakini baada ya matokeo kuonekana, ndiyo mwanzo wa kutopea huko.

Kwa vijana wa kiume, wengi huanza tabia hii wakiwa kwenye umri wa kubalehe. Mara nyingi hutokea asubuhi wakati wa kuamka, usiku wakati wa kulala au bafuni wakati wa kuoga.

Kwa kawaida, mtu anapokuwa katika sehemu ya utulivu kwa maana ya kupumzika, wakati mwingine mkono unaweza kutembea huku na huko kwenye mwili na mwisho wake bila kutegemea mhusika anajikuta ameshaingia kwenye mchezo huo.

Huwa kama mzaha, akiwa hajui hatma yake, lakini msisimko anaoupata ndiyo unaomchanganya na mwisho wake anashangaa kila kitu kimemalizika. Unajua atakachosema? Sikia: “Mh! Kumbe ndiyo mwisho wake ni hivi? Lakini kama nimesikia starehe hivi…”
Hiyo hutokea pia wakati wa kuoga, ambapo wakati wa kujisugua kwa dodoki, msisimko ukitokea, madhara yanakuwa kama nilivyoeleza hapo juu.

Wenye umri mkubwa au wa kati, huanza tabia hii hasa baada ya kuanza mchezo wa kuangalia video za kikubwa wakiwa peke yao. Kwa sababu wanachotazama kinahusisha msisimko wa mapenzi, basi bila kutarajia hujikuta tayari!
Hii inafanana pia na kwa watoto wa kike, vyanzo nilivyoeleza hapo juu pia husababisha kwa karibu sana.

Sababu nyingine ni kunyimwa au kutotoshelezwa kimahaba na mwenzake.Wengi imewagusa, lakini kuna makundi mawili; wapo waathirika ambao wanatamani kuachana na utumwa huu na wengine wameathirika zaidi, kiasi kwamba hawana mpango wa kuacha.

Wengine wameenda mbali zaidi, kwa vile hawafikirii kuachana na mchezo huu, wamefikia hatua wanasema kwamba hakuna madhara kwa mtu anayejichua! Watu wanatetea wazi wazi, kwamba kujichua hakuna madhara. Sikia rafiki yangu, hata anayevuta sigara anajua kwamba ina madhara kwa afya yake, lakini ili kujifariji, atajenga hoja kwamba, haimdhuru na badala yake inamsaidia sana kuondoa baridi na haina kilevi.

Wakati mvuta sigara akisema hivyo, mlevi naye atakuja na hoja kwamba, pombe inamsaidia sana kupunguza mawazo. Kila mmoja atatetea upande wake. Ni jambo la kawaida kabisa.

Nikiwa naelekea kuendelea na mada yetu, rafiki yangu mpendwa kama wewe ni ‘muumini’ wa tabia hiyo, unatakiwa kufahamu kwamba unafanya jambo HATARI sana, si tu kwa afya yako, kisaikolojia na dhambi ya uzinifu ambayo hiyo itatokana na uhusiano wako mwema na imani ya dini yako, NDOA yako ipo/itakuwa hatarini.

Nadhani mnakumbuka wiki iliyopita nilieleza maana ya kujichua, namna tendo linavyofanyika na jinsi mtu anavyoanza mchezo huo bila kutegemea. Sasa rafiki, hebu tuendelee kwenye namna tatizo linavyokua.

UKUAJI WA TATIZO
Mwathirika akishazoea, hufanya tendo hilo kama sehemu ya maisha yake. Alianza bila kujua matokeo yake, lakini sasa amejikuta akianza kuupenda na idadi ya ufanywaji wa tendo huanza kupanda, baada ya siku tatu, siku mbili, kila siku na hatimaye kwa siku zaidi ya mara moja.

“Kaka Shaluwa, najichukia sana, yaani nimekuwa mtumwa kabisa wa kufanya huu ujinga.

Kwa siku nafanya mara mbili au zaidi, lakini si chini ya hapo,” alisema rafiki mmoja, aliyenipigia simu baada ya kusoma sehemu ya kwanza ya mada hii wiki iliyopita.

Ukweli ni kwamba, mfanyaji kwa vile ameshapata ‘mteremko’ wa kutimiza haja zake, kwanza ataanza kuwadharau wanawake/wanaume, kwamba hawawezi kumtisha, kwa sababu ana njia za kujifurahisha mwenyewe.

Pili, hufikia hatua ya kuwachukia watu wa jinsia pacha, akiwaona kama ‘wanaringa’ hasa kama atakuwa amemshawishi kimapenzi na kukatawaliwa.

ATHARI ZAKE
Zipo athari nyingi sana ambazo mwathirika anaweza kuzipata kwa kuendekeza mchezo huu. Hapa nataka nizungumze kwa herufi kubwa kabisa kwamba, ndugu zangu usidanganyike kwamba hakuna madhara kwa kufanya mchezo huu.

Yapo MADHARA makubwa sana ambayo yanapatikana kwa mchezo huo. Achana na propaganda za mitaani, zenye utafiti hewa.

Sikia nikuambie rafiki yangu, hasa wewe ambaye unafanya mchezo huo. Upo kwenye hatari kubwa ya kushindwa kufurahia mapenzi, kwa vile mazoea ya kiungo siri chako ni kwenye vitu ‘artificial’ zaidi ya ‘natural’.

Mwanaume aliyezoea kujiridhisha mwenyewe, akikutana na mwanamke, hana muda mrefu sana, kila kitu kinamalizika.

Siyo hivyo tu, uwezo wa kurudia tendo unakuwa mdogo au unakosekana kabisa. Kinachotokea ni kwamba, kiungo siri chake kinakuwa kimeshazoea, aina nyingine ya ‘hali ya hewa’ hivyo kinapokutana na sehemu siri za kike, ambazo ni laini na zenye ute mwepesi, inakuwa rahisi kumaliza ‘biashara’ mapema wakati wateja bado wanahitaji!

Kiungo siri cha mwanaume huwa kigumu, hivyo kusababisha maumivu kwa mwanamke kutokana na sugu aliyoitengeneza bila kujua. Kwa kawaida viungo siri vyote ni laini sana na vinatakiwa kubaki katika hali hiyo ili kuleta msisimko wenye usawa.

Mazoea yoyote tofauti na yale ambayo yanatakiwa hupunguza msisiko na kusababisha mmoja wa washiriki wa tendo la ndoa kubaki na kiu na mwenzake.

“Najuta kuufahamu huu mchezo, kila siku ninapokutana na mume wangu, ananiacha nikiwa sijatosheka. Kiukweli tangu amenioa, sijawahi kufurahia tendo la ndoa. Nilianza huu mchezo zamani sana, tangu nikiwa kidato cha tano.

“Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nakaa naye bweni moja alinifundisha. Sikujua kama madhara yake ni makubwa kiasi hiki. Ilikuwa ni shule ya wasichana tupu, kwa hiyo akanidanganya kwamba tuachane na wanaume tujichue…kumbe alikuwa ananisaga!” hii ni sehemu ya ushuhuda mwingine wa mchezo huo.

Athari nyingi ambayo mtu anaweza kuipata kwa kujichua ni kumaliza ‘kazi’ mwenyewe bila hata kwenda kazini. Akipita mtu wa jinsi pacha, ambaye ana mvuto, kazi inaishia hapo hapo!

UPO KUNDI GANI?
Uko wapi rafiki yangu? Nazungumza na wewe ambaye unafanya mchezo huo, bado unataka kuendelea nao au unatamani kuacha? Shika maneno yangu, kwamba ni HATARI kujichua, halafu weka nia ya kutaka kuacha huu utumwa, kisha vuta subira hadi wiki ijayo katika sehemu ya mwisho ambayo haitaacha kitu.

MFADHAIKO
Mtu ambaye anaendekeza kazi hii, hupata mfadhaiko. Anayepata mfadhaiko, huwa mwepesi sana wa kuwa na matamanio kwa jinsia ya upande wa pili.

Si ajabu mtu mwenye mchezo huo, kutembelea akimwangalia mwanamke kuanzia Magomeni hadi Manzese! Amefadhaika. Ameshazoea kumaliza kazi nzima akiwa peke yake, kwa hiyo raha yake inabaki kuwa katika picha tu na si kitu halisi.

Macho yanakuwa juju juu, si kwa kupenda, ni kwa sababu tayari ameshaathiriwa na tatizo hilo. akitoka hapo, ujue moja kwa moja faragha, anaanza mambo yake. Kelele nyingi, kumbe yupo peke yake!

Mfadhaiko hauishii hapo, hata akiwa kwenye vyombo vya usafiri au mkusanyiko wa watu, mwathirika huweza kumaliza ‘kazi’ kwa macho tu, tena wakati mwingine bila kuwa na taarifa. Anakuja kugungua baadaye sana, kwamba kumbe kila kitu kilishafanyika bila hiyari yake.

KUSHINDWA TENDO LA KAWAIDA
Mwenye mchezo huo, pamoja na uhodari wake wa kujifurahisha akiwa peke yake, anapokutana na mwenzi wake faragha, kazi inakuwa si ya kiwango cha kuridhisha. Kuna athari nyingi ambazo hujitokeza.

Kwanza, anakosa ujasiri, hayupo tayari kuandaliwa, kumuandaa mwenzake. Kishazoea kufanya kila kitu haraka haraka, tena kwa kutumia hisia zaidi kuliko uhalisia wa tukio lenyewe.

Anakuwa goigoi, anachelewa kuwa tayari, hata akiwa tayari anafika safarini mapema zaidi. Mbaya zaidi, akifika hawezi kuanza safari nyingine. Hata kama akianza, kuna uwezekano mkubwa wa kuishia njiani.

Baadhi yao, hubaki wakiwa baada ya wahusika wao kuwagomea katikati ya safari. Zipo athari nyingi zaidi ya hizo, kutegemea na namna tatizo lilivyokomaa na aina ya jinsia.

KUFEDHEHEKA
Baada ya hayo hapo juu kujitokeza kwenye ndoa/uhusiano wa mwathirika, kinachofuata sasa inakuwa ni kufedheheka. Kwa bahati mbaya sana, unaweza kufanya siri mchezo wako, lakini athari zikawa wazi kwa mwenzako.

Hata kama hatagundua chanzo cha tatizo, lakini atagundua kwamba huna msisimko, huwezi kazi au vyovyote vile. Wengi husema kwa hisia, humaanisha kwamba hakuna wanachopata kutoka kwa wenzao, lakini mambo yakizidi kuwa hovyo, wanafunguka: “Mwenzangu kila siku unaniacha na kiu, una tatizo gani?”

Kauli hiyo rafiki yangu, inatosha kabisa kukufanya ushindwe kazi moja kwa moja. Unajua nini? Utaanza kuwaza: “Kumbe siwezi kitu…halafu mwenzangu ameshagundua. Nitafanyaje mimi? Mbona nahadhirika?”

Ndugu yangu, ikifikia hapo utakuwa unamkimbia mwenzako na kwenda chemba kumaliza biashara zako mwenyewe. Furaha ya moyo itatokea wapi? Kama ndiyo mnaishi kinyumba au mpo ndani ya ndoa ndiyo kabisaaa!
Umeona kazi hiyo?

UNATAKA KUACHA?
Hakuwa dawa kubwa sana ya kuacha mchezo huu. Najua wengi walikuwa na hamu ya kutaka kusikia, wataachaje huu mchezo. Ndugu zangu.Usitarajie kwamba nitakuja kuingia kwenye nafsi yako na kukuambia ACHA KUJICHUA! Ndugu zangu, nitawapa dondoo chache sana, lakini kubwa ni kwamba ATHARI nilizotaja hapo juu zinatosha kabisa kukubadilisha!

Hebu nikuulize, utakuwa na hamu ya kuendelea na haya mambo kama ndoa yako itakuwa hatarini? Nani atakubali kufedheheka? Nani atakubali kupoteza heshima yake? Bila shaka hakuna. Pitia dondoo zifuatazo;

(i) Badilisha utaratibu wa kulala, lala kifudifudi, badala ya chali (rejea maelezo yangu ya awali kuhusu chanzo cha tatizo)
(ii) Acha kuangalia mikanda ya kikubwa ukiwa peke yako.
(iii) Kaa mbali na simulizi zinazohamasisha mapenzi, mazungumzo ya aina hiyo na kampani za watu wanaopenda kusimulia mambo ya faragha.

(iv) Acha mazoea ya kujishika sehemu zako za siri.
(v) Fanya mazoezi ya viungo angalau robo saa tu kwa siku.
(vi) Juu ya yote haya, FUTA kabisa mawazo ya jambo hilo. AMUA kwa dhati ya moyo wako, tambua na ogopa athari ambazo unaweza kuzipata, kisha ACHA KABISA mchezo huo ili kulinda heshima yako na kujipa furaha ya maisha

Punyeto itakuongezea tabia ya kujishuku muda wote utajiona guilt muda wote.

Utapoteza kujiamini kwenye mambo mengi na mwishowe utaanza kujidharau. Kadri umri unavyozidi kwenda utakua sio mtu wa kuamua jambo kwa haraka na uwezo wako wa kukumbuka mambo utapungua.

Nadhani ukikaa hujajichua hata wiki moja moyoni mwako unajisikia amani na unajikubali. Achana na sound kuwa Nitaacha kesho🧐🧐 kesho ya puli huwa haifiki kama unataka kuacha acha leo.

Mwisho tafuta mwanamke hata kama ni mbaya kwa kuanzia sio mbaya ili tu uepukane na puli.
---
Ndugu na rafiki wa jamii forum naomba maoni Juu ya hihi mada..nasi tuma maoni yetu ndani ya link hihi ambayo itakusaidia kuelewa sayansi ya PUNYETO na namna ya kuachana nayo ....usiache kusubscribe na kutoa maoni yako

---
Baada ya kuangalia madhara yanayosababishwa na kupiga punyeto nilipokea simu nyingi ambazo zilitaka pia niongelee suluhisho au jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto kabisa. Punyeto kama tulivyoongea ni tatizo la kitabia na linaweza kudhibitika kabisa kama matatizo mengine yeyote.

FANYA YAFUATAYO....
Acha kuangalia video za ponograph: video hizi ndio chanzo kikuu cha punyeto kwa watu wengi hua zinajenga picha nyingi kwenye ubongo na kila picha unayoiona utataka ukaipigie punyeto hivyo kuacha kuziangalia tu ndio nafuu yako.. Weka mipango ya kuzuia kupiga punyeto wakati wa kuoga: bafuni ndio sehemu ambayo inatumika sana na watu wengi kupiga punyeto hivyo ni vizuri kua na mikakati ya kujizuia ukiwa huko kwa kuoga haraka na kuondoka, kuoga maji ya baridi ambayo mara nyingi hayatoi muhemko wa kupiga punyeto.

Epuka kukaa nyumbani peke yako; mara nyingi kukaa peke yako kunakufanya ushawishike kufanya tendo hilo, hebu ondoka na ujichanganye na watu wengine au tafuta majirani wa kukaa na kuongelea mambo mengine.

Fikiria kuhusu madhara yake: kila aliyewahi kupiga punyeto kuna madhara mabayo ameshayapata hasa madogo madogo kama uchovu mkubwa, kuumwa kichwa na kusahau sana hii itakupa moyo wa kuendelea kutopiga punyeto.

acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho: siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, kama unaacha acha mara moja.

Tafuta mpenzi kama huna kabisa: ukiwa na mpenzi madhara ya punyeto kama kupungukiwa nguvu za kiume yatakufanya uache kabisa kwani ukiendelea utaaibika siku moja pale uume

utakaposhindwa kusimama kabisa mkiwa faragha chumbani na pia utapata nafasi ya kushiriki tendo la ndoa hivyo kuacha kabisa punyeto. pia unaweza kumshirkisha mwenzi wako tatizo lako ili akusaidie kuacha.

Anza mazoezi na jishughulishe na mambo mengine:hii itakufanya ue bize na mambo mengine na utumie mda wako mwingi huko, pia mazoezi ya jioni yatakufanya uchoke na kushindwa kufikiria kupiga punyeto wakati wa kwenda kulala
Uzoefu unaonyesha, mtu anayepiga punyeto, hata kama ameathiriwa na tatizo la punyeto kwa kiwango gani, endapo atafanikiwa kutopiga punyeto kwa muda wa siku arobaini mfululizo, mtu huyo hatopiga tena punyeto katika siku zote za maisha yake kwani tayari mtu huyo atakuwa amerudia katika hali yake ya kuto kuwa addicted tena na upigaji punyeto, na atalichukia kabisa hata jina la tendo hilo achilia mbali tendo lenyewe.

MAELEZO ZAIDI
Pia ileleweke kuwa Sio rahisi kwa mtu aliyekuwa addicted na punyeto kustahimili kujizuia kupiga punyeto kwa muda wa siku arobaini mfululizo. Anaweza kujizuia kupiga punyeto kwa siku mbili lakini baada ya hapo ataendelea tena na mchezo wako.

JARIBU PIA DAWA HII. PILIPILI
Pilipili inayo hitajika hapa ni yoyote ile ili mradi iwe kali sana, ( Ila inayopendekezwa ni pilipili mbuzi ama pilipili kichaa, pilipili hoho haihusiki hapa ).

MATUMIZI
Kwanza kabla ya kujua matumizi ni vyema ukatambua muda ambao huwa unapiga punyeto (Mara nyingi huwa ni asubuhi baada ya kuamka,wakati wa kuoga ama usiku kabla ya kulala ).

Chukua pilipili zako, zipasulie kwenye viganja vya vidole vyako na kujipakaza katika viganja vya vidole vyako. Unaweza kutumia pilipili moja kwa kila kiganja, na kwa kila muda ambao huwa unapiga punyeto lakini unaruhusiwa kujipakaza zaidi ya pilipili moja.

Ukishajipaka pilipili kwenye viganja vya vidole vyako, moja kwa moja unakuwa umekwisha jilazimisha kutokufanya punyeto, kwa sababu ukipiga punyeto kwa viganja ambavyo vina pilipili utawashwa sana wala hautaweza kufurahia tendo hilo.

JAMBO LA KUZINGATIA : Hakikisha unakuwa na walau pilipili mbili mpaka nne kila unapokuwa katika maeneo ambayo yanaweza kukuchochea kufanya punyeto.

UFANISI WA DAWA HII : Dawa hii inawafaa wale tu ambao wamedhamiria kutoka mioyoni mwao kuacha kufanya punyeto. Kwa wale ambao hawajadhamiria haitaweza kuwasaidia..
Cc Chrix_Tz



PIA UNASHAURIWA KUSOMA MADA HII:
- Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa - JamiiForums
 
Mwenzenu nilikua mhanga wa hio ishu ila nashangaa najikuta mwezi wa nane sijafanya ni juzi tu niliamka nikajikuta nimeji. Lakini kabla ya hapo siku 3 zilikua hazipiti acheni jamani ukiwa na imani kwa Mungu hakuana kinachoshindikana. Mwambie asali sana ana asikate tamaa atajikuta kaacha tuu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwanza pole sana ndugu, na usijihisi mnyonge maana kati ya watu 20 waliokomenti hapa yawezekana asioatikane hata mmoja ambaye hsjajilipua, even akina dada.

Selfie imekuwa ni tatizo sugu la wanaume wengi, hata waliopo kwenye ndoa hujikuta wakipiga kabla yakukutana na mwenza wake au hata muda mchache baada yakukuta kimwili!

Nini kifanyike ili uweze kuacha?

Jiweke busy na kazi, fanya kazi za mikono, jisomee magazeti, tizama mpira, acha kuangalia movie zenye ngono ndani yake, acha kabisa kutembelea blogs na websites za video za ngono.
Pia usichati na mwanamke kuhusu ngono kama haupo karibu nae ili ashiki ikikukamata mfanye.

Sali au Swali sana Mungu atakusaidia.

Mwisho kumbuka Selfie hukupatia raha ya dk 5 kati ya masaa 24 ya siku, kwamaana nyingine utakuwa nahasira na msongo wa mawazo kws masaa 23 na dk 45 ,mara baada ya kujifyatua.

Selfie huleta raha kwa muda mfupi ila ina madhara mengi sana ambayo ukiyatafakari kwa kina ndonga ni lazima ilale usingizi, tazama madhara ya Selfie

1. Majuto na Msongo wa mawazo mara tuu baada ya wazungu kutoka

2. Nguvu nyingi kupotea mwilini (ukijilipua mara moja nguvu unazopoteza mwilini ni sawa na mtu aliyekimbia kwa kasi km 7 bila kupumzika)

3. Hufifisha uwezo wa kufikiri, husababisha ubongo kupoteza kumbukumbu na kusahau mara kwa mara, mfano kushika simu na mkono wa kushoto huku ulitumia mkono wa kulia kuitafuta hadi chini ya kitanda wakati mwingine unaweza hata kuazima simu ya mtu kubeep simu yako uliyoishikilia kwa mkono wa kushoto!

4. Misuli ya kiuno na ya uume kulegee hivyo kukufanya kukosa nguvu za kiume au kuwa na uwezo mdogo wakusimamisha, yaani uume husimama hali ukiwa legelege kiasi hata cha kondomu kushindwa kuvalika, acha tuu kumridhisha mwanamke!

Kujilipua husababisha ndonga kuwa na hisia kali na za haraka unapokuwa na mwanamke chumbani, yaani kitendo cha kumtomasa mwanamke unajikuta ushajikojolea, hii inaleta karaha na fadhaa sana, hivyo kupelekea kushindwa kumridhisha mwanamke kingono. Hii itakufanya ujiskie hovyo na hata kuogopa kuwa na mwanamke ukihofia aibu iliyowahi kukuta ulipokuwa na salome wako.

5. Mwisho Selfie huvunja vunja na kuua viungo vya mwili na dalili zake,nutaskia kelee (mf. Tasuu) kwenye magoti na viwiko vya mikono, sana sana magotini!

Fikiria zaidi hayo madhara utaacha kabisa kujichua kama ulivyoacha maziwa kwa mama yako.

Mwandishi wa makala haya, ni Mwalimu wa Biolojia kutoka chuo kikuu cha Finland,( University of Finland) na pia ni mtaalamu wa Maswala ya Afya ya uzazi!
 
Tatizo la punyeto limekuwa ni tatizo la muda mrefu la vijana wengi na wengi kwa namna moja au nyingine wameshindwa kuacha ingawaje wengi wanachukia sana kitendo hicho.

Mbaya zaidi wengi wanapiga punyeto halafu vyakula wanavyokula havina ubora na vinazidi kudidimiza nguvu zao za kiume.

Katika uzi huu tutajaribu kuangalia mzizi wa tatizo (nini kinapelekea watu wapige punyeto) ,kwa nini ukiingia huwezi kuacha, je tangu uanze kujichua umenufaika kwa mangapi na umesababisha kuharibu system ya maisha yako kwa kiasi gani, namna ya kuliondoa tatizo(kuacha kujichua) namna ya kurudisha nguvu za kiume zilizopotea kipindi chote cha kujichua


Karibuni mtiririke
 
Sijui kwanini nimekua wa kwanza kuuona huu uzi!!

Boss, hii kitu ni balaa usipoweka nia na kuichukia. Yaani uweke nia alafu uichukie toka moyoni hapo ndio utaiacha!! Otherwise utakua unapiga marktime!!
 
Duuu,nilidhani ni habar kamili kumbe ni trailer
Nimefanya hivyo sikutaka niwatafunie kila kitu

Nimeacha kwanza nione watu huwa mna mtazamo gani juu ya suala hili kabla sijaanza kutoa suluhisho na namna ya kuzirudisha nguvu zilizopotea kwa kasi zaidi.
 
Kila kitu ni nia, ukitia nia unaweza ila binafsi ninaamini kuwa ukiwa bize na shughuli za hapa na pale inakufanya mtu ubongo wake ukoconcetrate katika mambo mengine ambayo ni ngumu kukupelekea kuwaza ngono.
 
Balehe ni mojawapo ya sababu ya kupiga punyeto, sasa hiyo tabia inaendelea iwapo hujapata mwenza na kupelekea kuwa senior punyeto cracker.

Nyingine ni mifadhaiko labda umemuona mwanamke amenona au umeangalia picha, video za ngono nayo inapelekea punyetoism
 
Nimefanya hivyo sikutaka niwatafunie kila kitu

Nimeacha kwanza nione watu huwa mna mtazamo gani juu ya suala hili kabla sijaanza kutoa suluhisho na namna ya kuzirudisha nguvu zilizopotea kwa kasi zaidi.

Unaleta vitu nusunusu vyanini sasa....heading ya maana halaf uzi mwepesi
 
Nataka nichukue baadhi ya mawazo ambayo ni basic zaidi halafu naenda ku edit uzi kwa kuongezea na vitu ninavyovijua ili msomaji apate urahisi zaidi maana sio wote wanaweza kusoma comments zote za watu bali kuna wengine wanasoma mwanzoni mwa thread basi halafu wanaondoka sasa kama hakutakuwa kumeshiba sana tutakuwa hatuja tatua tatizo bado kwa sababu watakao nufaika ni wachache
 
Sometimes mtu yupo single, kutongoza gals anaona usumbufu coz mtabembelezana wiki kadhaa, kuchukua milupo unaogopa magonjwa na ww ni mzee wa vukavuka, kwanini asijisitiri na nyeputo.

Its Affordable and Safe ama mnasemaje wazee wa CHAPUTA:):).

Hzo ni kati ya sababu, vema tukajikita zaidi kwenye kusaidia pipo waachane na hii kitu yaani unakuta mwingine mpaka anaoa lakini haachii uwanachama. Hii na kwa KE, hawa wanakuja kwa kasi sana siku hz, wanatoys kabisa
 
Salaam wazee wenzangu,

Rejea mada tajwaMMwenzenu nlianza kupiga puli/Punyeto 2003. Kuna wakati naacha Ila inafika kipindi natamani kupiga tena.

NIna mademu na napiga show ya nguvu ioa baada ya muda napiga puli
So nimeamua niache ila sijui nitumie dawa gani ambayo itanisaidia moja Kwa moja kuacha hii Punyeto jamanii msaada please.
 
its not simple kaka but kama unania kweli ya kuacha fanya yafuatayo:

01:Acha kuangalia video,picha za ngono (porn)

02:achana na stories za ngono sababu hizo zinachangia sana

03;epuka kukaa mwenyewe kwa muda mrefu penda kukaa na company na io company muwe mnazungumzia issue zingine.

04:usikae bila kufanya kazi (kuwa-busy) kila muda jishuhulishe NB fanya mazoez sana hasa nyakati za jion inakata kiu sana sabab viungo vinachoka.

05:ikitokea umefanya yote na bahat mbaya ukajikuta umerudia usikate tamaa maana ningumu kuacha mara moja endelea na hiyo dozi.

06:usi-ruhusu mawazo yako kuwaza wanawake au ngono ikiwezekana usipende kujichanganya na wanawake sabab ukimuona mwanamke haswa wale wako sex utaanza ku-create image ya maungo yake yandani na hiyo itakua kichocheo.

07:mwisho kwa leo jiweke zaid kwenye dini kama wewe mkristo penda kusoma sana neno.mafundisho pia unaweza kumshirikisha kama ni pastor au Sheikh au muumin yoyote unamuamin akusaidie kiroho zaid.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom