miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Habarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Pole Mkuu..umefukuzwa!Habarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Umetumbuliwa mkuu fuatilia kwa makini mkuuHabarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Iko hewani vipiDanload ipo hewani
Ila mshahara umepata?Habarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Mshahara sijapata mwezi huu wanneIla mshahara umepata?
Pole sana, nadhani ni tatizo katika mfumo kwa sababu, kuna baadhi wa watumishi ninapofanyia kazi na wao hawajapata mshahara wa Mwezi huuMshahara sijapata mwezi huu wanne
Poa ngoja nisubirie,Mimi ajira yangu serikali kuu wizara ya Afya,(katibu mkuu wizara ya Afya),Uta pata siku ya kesho kulitokea uchelewashaji wa payroll kutumwa kwa baadhi ya halmshauri na tasisi walio wahi walipata mshahara alhamisi usiku na weekend hii ilikuwa ndefu kesho siku ya kazi BOT watamalizia kutuma mishahara kwa tasisi na halmshauri zilizo chelwea kutuma payroll
Poamambo bado mvumilie
Mshahara sijapata mwezi huu wanne
Habarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?
Ok,mwaka Jana 2018 mshahara wa mwezi may nilikosa hivihvi tatizo lilikuwa vyeti vya secondary,nilipowasilisha mshahara ukawa unaingia kwenye akaunti kawaida ila huo mshahara wa mwezi may mpaka leo hawakutuma,Sasa Tena mwezi huu imenishitua imenikumbusha ya mwaka Jana,ndo nimeanza kufikiria Mambo ya vyeti Tena lakini mwaka Jana tatizo liliisha baada ya kuwasilisha vyeti,ndo nilikuwa naumiza kichwa imekuwaje Tena mwezi huu,ngoja tuvumilie hiyo tuoneSalary haijatoka kwa baadhi ya Watumishi Mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila mshahara umepata?
Mwenyewe Leo nimehangaika Sana kudaunilod salary slip utumishi portal inakataaHabarini wakuu katika akaunti yangu ya salary slip portal sioni salary slip ya mwezi wa nne wala bank haijanitumia sms ya mshahara. Je tatizo itakuwa nini?