habari zenu wana jamii, nitafurahi kama nitapata msaada kutoka kwenu hasa kutoka kwa mabigwa wa gadgets, natafuta simu inayotumia os ya android ya bei nzuri kama laki 3 mpaka 4 hivi hapo bongo (mimi niko mikoani) nitafurahi kama mutanijuza make na model ya simu yenyewe na maduka zinapopatikana natanguliza shukurani zangu