chuma_cha_pua
Member
- Sep 28, 2013
- 24
- 10
Jaman natanguliza shukrani kwa msaada, plz kama kuna mtu anajua ufumbuzi wa hili tatizo...maana ninachaji siku nzima lakini inaambulia kujaa 11% nkichaji via computer ndo kidogo inafika 42% na hapo imelala usiku mzima ndo inajaa hivyo, please help.