MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Nisaidieni wakuu... simu yangu niki iwasha tu inawaka... baada ya muda mfupi inaanza ku vibrate alafu inajizima na kuendelea ku vibrate na kuandika ujumbe huu USER FAULT, NOT KERNEL PANIC, UPLOAD MODE. ikisha leta ujumbe huu kila kitu kinakuwa kime stack,, mpaka nikitoa betri... lakini nikirudishia habari ndo hiyo hiyo,,,,,.... nimejaribu kubonyeza swich pamoja na volume down bila mafanikio...... sasa nifanyeje wakuu? msaada wenu jamani...