Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 384
- 574
Habari,poleni na majukumu
nilipoteza simu siku kadhaa zilizopita,ktokana na ukata wa pesa ukanfanya kukumbuka simu nlikuwa nmeiweka ndani tecno pop 2f ilovunjika kioo siku za nyuma(kioo complete)tatizo inastuck sana&nkiwa naandka namba ili npate 1 lazma nbonyeze 2,vivyo hvyo ata nkiwa natype sms
mwenye ako na ujuzi au ashawahi kumbana na changamoto kama hii alipobadlisha kiio&touch vya simu ake naomba kujuzwa Jinsi alivyosolve tatizo kama hili.
nilipoteza simu siku kadhaa zilizopita,ktokana na ukata wa pesa ukanfanya kukumbuka simu nlikuwa nmeiweka ndani tecno pop 2f ilovunjika kioo siku za nyuma(kioo complete)tatizo inastuck sana&nkiwa naandka namba ili npate 1 lazma nbonyeze 2,vivyo hvyo ata nkiwa natype sms
mwenye ako na ujuzi au ashawahi kumbana na changamoto kama hii alipobadlisha kiio&touch vya simu ake naomba kujuzwa Jinsi alivyosolve tatizo kama hili.