toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,583
- 4,615
Hii simu naitumia ni miezi mitano sasa sijawahi hata kuidondosha ukiiona kama mpya kabisa ila imeanza kuwa na tatizo la kutach ukibonyeza mbili inabonyeza tatu
Ukislide kwa juu inaslide kwa chini imekua ni shida wakati mwingine inaanza kujibonyeza tu unakuta ishafika watsaap
Nimerestore simu hamna kitu
Nilidhani labda ni protector nikaitoa nikatumia bila protector lakini wapi nimeweka protector mpya naona mchezo ndo huo huo
Wakati mnasolve vipi hili tatizo?
Pili ikipata moto sana inakua na tatizo la kutokea kwa chenga kwenye kioo screen flickering/screen blinkinh yaani km zile chenga za deki za kizamani za mikanda wakati unapeleka mkanda mbele...then inatokea inapotea
Ukislide kwa juu inaslide kwa chini imekua ni shida wakati mwingine inaanza kujibonyeza tu unakuta ishafika watsaap
Nimerestore simu hamna kitu
Nilidhani labda ni protector nikaitoa nikatumia bila protector lakini wapi nimeweka protector mpya naona mchezo ndo huo huo
Wakati mnasolve vipi hili tatizo?
Pili ikipata moto sana inakua na tatizo la kutokea kwa chenga kwenye kioo screen flickering/screen blinkinh yaani km zile chenga za deki za kizamani za mikanda wakati unapeleka mkanda mbele...then inatokea inapotea