Kama nilivyoeleza hapo juu simu yangu Aina ya Tecno park 5 Ina tatizo la kutopokea chaji ikiwa imewashwa takriban wiki Sasa.
Njia pekee ninayotumia kwa Sasa Ni kuizima tu kila ninapohitaji kuichaji.
Tatizo Hilo lilianza Mara tu baada ya kuja silent notification ya Android system kwenye simu yangu ambayo inasomeka
"Charging connected device via USB".
Nimejaribu kutafuta namna ya kuifuatilia notification hiyo ili nijue chanzo chake lakini jitihada zangu hazikuzaa matunda.
Naomba msaada kwa wataalam naomba mnijuze Nini tatizo na nawezaje kulitatua.
Naomba kuwasilisha.
Njia pekee ninayotumia kwa Sasa Ni kuizima tu kila ninapohitaji kuichaji.
Tatizo Hilo lilianza Mara tu baada ya kuja silent notification ya Android system kwenye simu yangu ambayo inasomeka
"Charging connected device via USB".
Nimejaribu kutafuta namna ya kuifuatilia notification hiyo ili nijue chanzo chake lakini jitihada zangu hazikuzaa matunda.
Naomba msaada kwa wataalam naomba mnijuze Nini tatizo na nawezaje kulitatua.
Naomba kuwasilisha.