UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 448
Wakuu husika na kichwa Cha habari. Je nifanyeje? Shida ni nini?
Aina ya simu ni SAMSUNG GALAXY A6+
Aina ya simu ni SAMSUNG GALAXY A6+
Njia ipi umefanikiwa?Asante wakuu
Nikajua ni simu zetu za wananchi-TEKNO,kumbe ni hizo 'lakishari foni'.
simu zetu wanyonge.Hahaha simu zetu pendwa, yaan hizo ndo IST zetu mkuu
Ujasolvet tatizo bado hapo kwa memory kuandika full angalia imebaki space ngapi? Utajua tatizoAsante wakuu