ichenjezya
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,010
- 1,119
Wakuu nina samsung galaxy s4,mwanzo nilikua naweza ku exchange vitu kutoka kwenye computer kwenda kwenye Cm au kwenye Cm kwenda kwenye computer,lakini kwa sasa nikichomeka waya wa Usb nashindwa ku detect files toka kwenye Cm,ila inaingiza chaji kama kawaida,naombeni ushauri chakufanya juu ya hili tatizo,maana nakosa raha coz nadownload video au movies via Cm but nikitaka kuhamishia kwenye PC inakua shida,much respect to you all.....