Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,142
- 2,998
habari ndugu zangu
naombeni ushauri na kujuzwa tafazali
ni takriban mwaka wa pili huu kila nikinywa maji natokwa na jasho sana,mwanzon jasho likikua linatoka kawaida tu lakini saiz naona hali inazidi,jasho linatoka kwa wingi saana,nmejaribu kuwauliza watu wangu wa karibu wanasema n afya,lakin nmekua sina iman na majibu yao kwakua wengine siwaon wakitoka jasho kama mimi.jamani naomba msaada wa kitaalam tafazali
naombeni ushauri na kujuzwa tafazali
ni takriban mwaka wa pili huu kila nikinywa maji natokwa na jasho sana,mwanzon jasho likikua linatoka kawaida tu lakini saiz naona hali inazidi,jasho linatoka kwa wingi saana,nmejaribu kuwauliza watu wangu wa karibu wanasema n afya,lakin nmekua sina iman na majibu yao kwakua wengine siwaon wakitoka jasho kama mimi.jamani naomba msaada wa kitaalam tafazali