Habarini wana JamiiForums natumai wote mpo poa.
Mm sio mpenzi sana wa siasa na hata kupiga kura huwa siendi, sema mara zote nimekuwa nikikichukua kitambulisho cha mpiga kura kama ID card ya kufanya shughul nyingine kama usajili, umiliki na hekaheka zengine.
Sasa mwaka huu nimejikuta busy sana, hivo process ya kutengeneza vitambulisho imenipita
Nifanyaje ili nipate hiko kitambulisho cha mpiga kura.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Mm sio mpenzi sana wa siasa na hata kupiga kura huwa siendi, sema mara zote nimekuwa nikikichukua kitambulisho cha mpiga kura kama ID card ya kufanya shughul nyingine kama usajili, umiliki na hekaheka zengine.
Sasa mwaka huu nimejikuta busy sana, hivo process ya kutengeneza vitambulisho imenipita
Nifanyaje ili nipate hiko kitambulisho cha mpiga kura.
Natanguliza shukran zangu za dhati.