King Josse
Member
- Dec 25, 2016
- 25
- 9
Habari wana Jf......
Mmi naomba kujuzwa tuu sifa ili mtu aweze kusoma it ambayee ameishiaa form four
Mmi naomba kujuzwa tuu sifa ili mtu aweze kusoma it ambayee ameishiaa form four
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayo mengine yote nna pass but physics ndo "f " inaweza ikaninyima nafasi kabisaa??uwe umefaulu masomo ya science matano pamoja na hesabu uwe na pass.
Ayo mengine yote nna pass but physics ndo "f " inaweza ikaninyima nafasi kabisaa??
Thank a lot..IT unaweza kujisomea mwenyewe mtandaoni. Juhudi zako tu. Are you hard-working or hardly-working ?
Anzia hapa: http://www.edx.org
Maneno ya busara hapa: http://reddit.com/r/learnprogramming
Habari wana Jf......
Mmi naomba kujuzwa tuu sifa ili mtu aweze kusoma it ambayee ameishiaa form four
F ya physics haiwezi kukunyima nafasi ukichagua chuo kwa umakini.Ayo mengine yote nna pass but physics ndo "f " inaweza ikaninyima nafasi kabisaa??
sio kweli anatapata chuoInakukosesha inakunyima nafasi kabisa mara nyingi huwa wanaangalia Pass ya Physics na Mathematics
Mkuu najiuliza kwa vijana wetu waliomaliza F4 kwenye hizi shule zetu unafikiri watakuwa na uelewa wa kutosha na discipline ya kujisomea wenyewe? Binafsi nina wasi wasi sana labda wale wa liomaliza A level. Akipata chuo kitamsaidia kumuweka vyema ingawa hata kama ni certificate ya mwaka mmoja baada ya hapo anaweza kujisomea mwenyewe ikibidi.IT unaweza kujisomea mwenyewe mtandaoni. Juhudi zako tu. Are you hard-working or hardly-working ?
Anzia hapa: http://www.edx.org
Maneno ya busara hapa: http://reddit.com/r/learnprogramming
Mkuu najiuliza kwa vijana wetu waliomaliza F4 kwenye hizi shule zetu unafikiri watakuwa na uelewa wa kutosha na discipline ya kujisomea wenyewe? Binafsi nina wasi wasi sana labda wale wa liomaliza A level. Akipata chuo kitamsaidia kumuweka vyema ingawa hata kama ni certificate ya mwaka mmoja baada ya hapo anaweza kujisomea mwenyewe ikibidi.
Kama una interest na mambo ya programming, tafuta lugha yako moja, ingia online anza kula Code. Wewe kuwa competent tu.
Lugha gani unayoipendekeza -- ukiiondoa python?
Programming ndio fourth literacy baada ya 3RJava ipo fresh sana, hata C++
Ubarikiwee sanaaF ya physics haiwezi kukunyima nafasi ukichagua chuo kwa umakini.
Kwa certificate program zinazosimamiwa na NACTE unatakiwa uwe na angalau pass (D) nne tu katika masomo yako ukitoa yale ya dini. Kuna vyuo vingine hueleza ni masomo yapi yawe kati ya hayo manne lakini kwa ufaulu wako hutakosa (labda kama kuna ushindani mkubwa). Ingia nacte utakuta admission guide za mwaka huu na moja ina deal na issue za IT pamoja na mambo mengine hapo utakuta vyuo, mahitaji yao na ada zake. All the best.