Kagondo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 296
- 79
Habari ndugu,.
Naomba msaada kwa anayejua shule za serikali ambayo/ ambazo zina walimu wengi yaani walimu wa kutosha.
Hapa nikwamba, shule hizi hazina tatizo la upungufu wa mwalimu wa somo hata moja.
Hii imezoeleka shule za private, lakini kwa bahati nzuri inawezekana ikawa hata ikatokea shule za serikali.
Nitashukuru kwa msaada.
Naomba msaada kwa anayejua shule za serikali ambayo/ ambazo zina walimu wengi yaani walimu wa kutosha.
Hapa nikwamba, shule hizi hazina tatizo la upungufu wa mwalimu wa somo hata moja.
Hii imezoeleka shule za private, lakini kwa bahati nzuri inawezekana ikawa hata ikatokea shule za serikali.
Nitashukuru kwa msaada.