Msaada: Sheria, kosa na adhabu za utakatishaji fedha.

Vangigula

JF-Expert Member
Aug 13, 2015
808
2,538
Wasalamu.
Tuanze na assumption. Assume umeokota kiroba cha pesa chenye vibilioni kadhaa (1, 2, 3 ....), halafu ukaamua kutokuwa muungwana na kuziripoti police, tofauti kabisa na alichokifanya yule soldier wa Nigeria (kama sijakosea) wiki mbili tatu zilizopita.

(Nina imani wengi watakubaliana nami kwamba uungwana una mipaka yake). Swali la kwanza, ungezihifadhi wapi au kwa namna gani? Najua wengine wangesema wanahifadhi bank, wengine kuziweka kwa mzunguko wa biashara, wengine wangekula bata na kuzihifadhia tumboni, wengine wangechimbia chini.

Swali la pili, kama ki-account chako kilishazoea kuonja laki mbili tatu za salary, na baada ya siku tano kunakuwa empty, au hujawahi kabisa kumiliki account bank, zaidi ya accounts za Insta, Facebook na Mpesa, ambayo ina madeni ya TALA na Branch, je upepo ukikubadilikia fasta then ukatupia humo lets say millioni 500, he hutapewa kesi za utakatishaji pesa?

Swali langu la msingi ni kuwa kama nimepata pesa nyingi kwa mkupuo kwa njia zisizo rasmi, lakini halali, je sitapewa hizi case za kina Erickson? Sitosumbuliwa na wazee wa Financial Intelligence Unit nielezee nilikoipata kila shilingi? Ni kiasi gani cha fedha raia anaruhusiwa kuwa nacho bila ku-declare? Msaada wenu wakuu, maana hii ndoto ya kuokota 'fungu' naona inajirudia rudia.
 
Wasalamu.
Tuanze na assumption. Assume umeokota kiroba cha pesa chenye vibilioni kadhaa (1, 2, 3 ....), halafu ukaamua kutokuwa muungwana na kuziripoti police, tofauti kabisa na alichokifanya yule soldier wa Nigeria (kama sijakosea) wiki mbili tatu zilizopita. (Nina imani wengi watakubaliana nami kwamba uungwana una mipaka yake). Swali la kwanza, ungezihifadhi wapi au kwa namna gani? Najua wengine wangesema wanahifadhi bank, wengine kuziweka kwa mzunguko wa biashara, wengine wangekula bata na kuzihifadhia tumboni, wengine wangechimbia chini.... Swali la pili, kama ki-account chako kilishazoea kuonja laki mbili tatu za salary, na baada ya siku tano kunakuwa empty, au hujawahi kabisa kumiliki account bank, zaidi ya accounts za Insta, Facebook na Mpesa, ambayo ina madeni ya TALA na Branch, je upepo ukikubadilikia fasta then ukatupia humo lets say millioni 500, he hutapewa kesi za utakatishaji pesa?

Swali langu la msingi ni kuwa kama nimepata pesa nyingi kwa mkupuo kwa njia zisizo rasmi, lakini halali, je sitapewa hizi case za kina Erickson? Sitosumbuliwa na wazee wa Financial Intelligence Unit nielezee nilikoipata kila shilingi? Ni kiasi gani cha fedha raia anaruhusiwa kuwa nacho bila ku-declare? Msaada wenu wakuu, maana hii ndoto ya kuokota 'fungu' naona inajirudia rudia.
UKISHIKWA NA MAMLAKA UMEISHA MZEE
 
Dogo usinichekeshe. Fedha halali isiyo na maelezo ni pesa gani hiyo? Nipe mfano mmoja tu
Njia mojawapo halali ila siyo rasmi ni kama ifuatavyo. Muajiriwa wa serikali akiamua kuingia kwenye madini, akadhamini shimo, mwisho wa siku shimo likatema..... Na hakuwa na leseni ya uchimbaji wala ya broker.... ataitolea maelezo gani mkuu?
 
hawawez kukushtaki bila ya kukuchunguza, na hawawez kukuchunguza bila ya kuwa na "reasonable suspicion" !
Tunaishi katika ulimwengu wa kibepar, suala la ongezeko kubwa na ghafla katika kipato cha mtu sio msingi sahihi wa kuanzisha shtaka la utakatishaji fedha.
Wachunguzi wa masuala ya utakatishaji fedha wanajifunza kila uchwao kuhusiana na njia zinazotumiwa na watuhumiwa ili kukwepa mkono wa sheria. Hawahitaj kujua kipato cha kila account ya bank ili kuwanasa waharifu. Kama mtuhumiwa ni mharifu haswa, atakuwa na wakati mgumu sana kukwepa mkono wa intelijensia, labda wahusika waamue wenyewe kuacha kukufuatilia.
Nashauri mtu akiokota hela aende kuripoti kituo cha polisi kwa sababu hakuna anayejua hizo fedha zinahusishwa na tukio gan la uhalifu.
 
hawawez kukushtaki wala kukuchunguza bila ya kuwa na "reasonable suspicion" ya utakatishaji fedha!

Tunaishi katika ulimwengu wa kibepar, suala la ongezeko kubwa na ghafla katika kipato cha mtu sio msingi sahihi wa kuanzisha shtaka la utakatishaji fedha.

Wachunguzi wa masuala ya utakatishaji fedha wanajifunza kila uchwao kuhusiana na njia zinazotumiwa na watuhumiwa ili kukwepa mkono wa sheria. Hawahitaj kujua kipato cha kila account ya bank ili kuwanasa waharifu. Kama mtuhumiwa ni mharifu haswa, atakuwa na wakati mgumu sana kukwepa mkono wa intelijensia, labda wahusika waamue wenyewe kuacha kukufuatilia.

Nashauri mtu akiokota hela aende kuripoti kituo cha polisi kwa sababu hakuna anayejua hizo fedha zinahusishwa na tukio gan la uhalifu.
Jana niliokota elfu sabini kwenye bar muda wa kuondoka. Ilikua pesa ya mlevi na hii niipeleke polisi. Hawatanifungulia mashtaka? Policcm hawaaminiki
 
hawawez kukushtaki bila ya kukuchunguza, na hawawez kukuchunguza bila ya kuwa na "reasonable suspicion" !
Tunaishi katika ulimwengu wa kibepar, suala la ongezeko kubwa na ghafla katika kipato cha mtu sio msingi sahihi wa kuanzisha shtaka la utakatishaji fedha.
Wachunguzi wa masuala ya utakatishaji fedha wanajifunza kila uchwao kuhusiana na njia zinazotumiwa na watuhumiwa ili kukwepa mkono wa sheria. Hawahitaj kujua kipato cha kila account ya bank ili kuwanasa waharifu. Kama mtuhumiwa ni mharifu haswa, atakuwa na wakati mgumu sana kukwepa mkono wa intelijensia, labda wahusika waamue wenyewe kuacha kukufuatilia.
Nashauri mtu akiokota hela aende kuripoti kituo cha polisi kwa sababu hakuna anayejua hizo fedha zinahusishwa na tukio gan la uhalifu.
Asante kwa maoni yako mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom