Msaada: selection F 5 awamu ya pili

markbusega

JF-Expert Member
Oct 12, 2015
826
846
Naomba kujuzwa hivi hawa wanafunzi waliochaguliwa awamu ya pili na hawajapangiwa shule wala combination (tahasusi) je watapangiwa kabla ya muda wa kujiunga kidato cha 5 haujafika? Ama wanasubiri watakaoshindwa kuripoti muda utakapoisha ndio hawa wapate nafasi? Nina mdogo wangu jina lake limetoka awamu ya pili naomba msaada wa ufahamu ili nichukue uamuzi asije akapoteza muda
 
Back
Top Bottom