Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,175
- 22,572
Wakuu
Sehemu ya mbele ya kichwa yaani fore head ama tuite kipanda uso panauma sana siku ya 4 sasa shida ni nini? Na wala sina Mafia Nina kikohozi tu kidogo ..napata tabu kufanya shughuli zangu maana nikiinamisha sura chinj niandike document yoyote napata maumivu sana
Sehemu ya mbele ya kichwa yaani fore head ama tuite kipanda uso panauma sana siku ya 4 sasa shida ni nini? Na wala sina Mafia Nina kikohozi tu kidogo ..napata tabu kufanya shughuli zangu maana nikiinamisha sura chinj niandike document yoyote napata maumivu sana