Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Mie nachukua nafasi hii kuchukua challenge hii na kutangaza scholarship ya $ 1500 mwaka wa kwanza kwa mwanafunzi wa kike kutoka vijijini (sio Dar-es-salaaam) anayequalify kusoma Computer Science katika Chuo Cha Elimu ya Juu Tanzania.
Niungeni mkono washikadau wa nchi.
Pundit, that is the way forward. What an outstanding generocity! Be blessed Pal!
SteveD.