Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,136
- 27,083
Wadau hii simu inanipasua kichwa na hii tabia ya kuzima na kujiwasha inavyotaka yenyewe....
Tatizo huwa linaanza nikiwasha tu data, inaweza tulia kwa muda ila nikigusa tu baadhi ya app basi itajizima...
Ikiwa kwenye chaji hata haizimi, pia nikiitumia bila data pia inakuwa poa tu..
Hapa nimebadilisha betri zaidi ya mara 3 sioni mabadiliko...
Naomba msaada,tatizo linaweza kuwa nn..na solution yake ni nini??
Kama kuna mtu anamjua fundi mzuri hapa dar anielekeze, simu yangu bado naipenda wakuu!!
Tatizo huwa linaanza nikiwasha tu data, inaweza tulia kwa muda ila nikigusa tu baadhi ya app basi itajizima...
Ikiwa kwenye chaji hata haizimi, pia nikiitumia bila data pia inakuwa poa tu..
Hapa nimebadilisha betri zaidi ya mara 3 sioni mabadiliko...
Naomba msaada,tatizo linaweza kuwa nn..na solution yake ni nini??
Kama kuna mtu anamjua fundi mzuri hapa dar anielekeze, simu yangu bado naipenda wakuu!!