Speculator
Member
- Mar 30, 2012
- 56
- 4
SALAMA WAKUU, simu yangu (Samsung Duos GT-56102) mssg ikiingia unasikia na kwenye screen inaonekana inbox lakini unapoifungua haionekani wala kufunguka sasa zinaonekana kwenye screen zinaongezeka, pili ukipiga simu baada ya kumaliza haionekani kwenye call list, naomba msaada wenu tafadhali