ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nataka kusafiri next month kwa kutumia usafiri binafsi gari aina ya Noah old model.
Kwa mwenye uzoefu snipe makadirio ya mafuta kiasi gani nitatumia kutoka Dar es Salaam hadi Mbeya.
Please.
Kwa mwenye uzoefu snipe makadirio ya mafuta kiasi gani nitatumia kutoka Dar es Salaam hadi Mbeya.
Please.