Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 523
- 525
Recruitment portal ya sekretariet ya ajira inasema sina qualification za kua-apply vacancy huku kila kitu kiko sawa na nilisha-apply vacancy zingine hapo awali. Kuna mtu anakumbana na hii adha kama mimi au kukataa huku kunamaanisha nini?
Asante.
Asante.