Msaada: Rafiki yangu anaumwa ugonjwa usiojulikana

ndiyomkuusana

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
666
426
Habari wakuu,



Nina Rafiki yangu nilisoma naye primary na nikamliza naye mwaka 1997 ,2009nimemaliza mimi chuo. Baada ya kumaliza Darasa la saba alipangiwa Tanga School(Tanga Tech), alimaliza tanga Tech form four akapata Dv.two ya 18 ,akapangiwa Old Moshi Sec school kule akafaulu akapata Dv 2, baada ya maticulation ya chuo akachaguliwa Uclass na IFM .akahmua kwenda Uclass . AJABU alipoanza chuo tu matatizo yakamuanza alisoma Ist semister Tu,Then akahairisha chuo mpaka mwaka unaofuata, kubwa kilichokuwa kinamsumbua ni Ugonjwa wa kuanguka ,na kuzimia alikuwa anaweza kuzimia masaaa nane mpaka kumi ,anaweza kuangunka tu ghafla ,iwe kwenye gari, au nyumbani kwao ,somtemses bararani .


Nimejaribu kuongea naye huwa anasema kabla hali ya kuanguka haijamfikia huwa kuna Harufu fulani inakuja,then ufahamu unampotea anaanguka.


Hili suala linaniuma sana wakuu, mimi nimemaliza chuo engineering mwaka 2009,lakini jamaa yangu mpaka leo kila akijitahid kuanza masomo, hiyo hali inamrudia kwa kasi sana, akiwa kawaida yaani hajihusishi na masomo huwa inamtokea lakini sio mara kwa mara.


Ugonjwa huu unamletea madhara hata kiafya ,kwa sababu akianguka huwa anaumia Miguu, mikono, kiuno sometimes anajing'ata sana. kama Juzi jamaa anasema alianguka pale mwenge , akajikuta yupo hospitali ya lugalo aliumia kiuno na miguu .

Nawaomba wakuu ,Tumsaidie huyu Rafiki yangu inaniuma sana wakuu. jamaa tulimaliza wote primary na Ana akili nzuri tu Darasani , lakini mpaka sasa hiv anahangaika mitaani hajui afanye nini,ili aweze kupona.toka umemuanza huu ugonjwa mpaka sasahivi ni miaka minane.

NB. Jamaa ni yatima Baba na mama yake walifariki toka mwaka 1995 anaishi na kaka zake wako watatu kwenye familia yao wote wavulana, yeye ni watatu.

Nimejaribu kuongea na wazazi wangu tuangalie jinsi ya kumsaidia ,wazazi wakaniambia tumpeleke kwenye maombi kanisani ubungo ,pale wanaposali wazee wangu (kalisimatiki) jamaa alikataa kwenda pale ,eti kwa sabau yeye ni Muislamu.

Sasa Nawaombeni jamani kama mtu ana dawa ya huu ugonjwa ,aniPM au kama anaweza kuniambia tumpeleke wapi kwenye Tiba ya ugonjwa huu pia Ani PM. Naombeni ushahuri wowote ninachotaka Rafiki yangu naye Apone wakuu. Ahsanteni
 
Mkuu poleni sana.. Kama amekataa kwenda huko kwenye maombi basi mwambie aswali sana hata vipindi vitatu au vyote kwa siku itamuepusha na hayo matatizo.

Sisi Binadam wabaya sana jaman.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Habari wakuu,



Nina Rafiki yangu nilisoma naye primary na nikamliza naye mwaka 2009. Baada ya kumaliza Darasa la saba alipangiwa Tanga School(Tanga Tech), alimaliza tanga Tech form four akapata Dv.two ya 18 ,akapangiwa Old Moshi Sec school kule akafaulu akapata Dv 2, baada ya maticulation ya chuo akachaguliwa Uclass na IFM .akahmua kwenda Uclass . AJABU alipoanza chuo tu matatizo yakamuanza alisoma Ist semister Tu,Then akahairisha chuo mpaka mwaka unaofuata, kubwa kilichokuwa kinamsumbua ni Ugonjwa wa kuanguka ,na kuzimia alikuwa anaweza kuzimia masaaa nane mpaka kumi ,anaweza kuangunka tu ghafla ,iwe kwenye gari, au nyumbani kwao ,somtemses bararani .


Nimejaribu kuongea naye huwa anasema kabla hali ya kuanguka haijamfikia huwa kuna Harufu fulani inakuja,then ufahamu unampotea anaanguka.


Hili suala linaniuma sana wakuu, mimi nimemaliza chuo engineering mwaka 2009,lakini jamaa yangu mpaka leo kila akijitahid kuanza masomo, hiyo hali inamrudia kwa kasi sana, akiwa kawaida yaani hajihusishi na masomo huwa inamtokea lakini sio mara kwa mara.


Ugonjwa huu unamletea madhara hata kiafya ,kwa sababu akianguka huwa anaumia Miguu, mikono, kiuno sometimes anajing'ata sana. kama Juzi jamaa anasema alianguka pale mwenge , akajikuta yupo hospitali ya lugalo aliumia kiuno na miguu .

Nawaomba wakuu ,Tumsaidie huyu Rafiki yangu inaniuma sana wakuu. jamaa tulimaliza wote primary na Ana akili nzuri tu Darasani , lakini mpaka sasa hiv anahangaika mitaani hajui afanye nini,ili aweze kupona.toka umemuanza huu ugonjwa mpaka sasahivi ni miaka minane.

NB. Jamaa ni yatima Baba na mama yake walifariki toka mwaka 1995 anaishi na kaka zake wako watatu kwenye familia yao wote wavulana, yeye ni watatu.

Nimejaribu kuongea na wazazi wangu tuangalie jinsi ya kumsaidia ,wazazi wakaniambia tumpeleke kwenye maombi kanisani ubungo ,pale wanaposali wazee wangu (kalisimatiki) jamaa alikataa kwenda pale ,eti kwa sabau yeye ni Muislamu.

Sasa Nawaombeni jamani kama mtu ana dawa ya huu ugonjwa ,aniPM au kama anaweza kuniambia tumpeleke wapi kwenye Tiba ya ugonjwa huu pia Ani PM. Naombeni ushahuri wowote ninachotaka Rafiki yangu naye Apone wakuu. Ahsanteni


Poleni sana Mkuu.

Msaada wako unahitajika sana huku Dr MziziMkavu
 
Hiyo ni typical seizure disorder. Ulivyoelezea the pattern, na hiyo hali ya kusikia harufu flani kabla hajaanguka(kitaalam inaitwa aura signs). Mpeleke muhimbili akaonane na psychiatrist hapo(au neurologist) atapewa dawa,zitamsaidia sana tu,ni muhimu uwahi kwa sababu kila anapopata attack kunakuwa na damage kweny brain, the ealier the better.
 
wewe ni rafiki mwema.ugonjwa kama huo nilishawahi kuuona kwenye tv ila jina lake nimelisahau.wenye matatizo hayo wanaweza wakakaa wakaongea na mtu,ghafla wanazimia{ila wao wanasinzia}anaweza akasimama ana anguka.kwa siku wanaweza wakaanguka au kusinzia mara hata 7.watu kama hao wanatumia dawa maisha yao yote,maana wenyewe wanasema ina wa affect kazi zao.kwani hiyo hali huwatokea sehemu yoyote ile
 
Habari wakuu,



Nina Rafiki yangu nilisoma naye primary na nikamliza naye mwaka 2009. Baada ya kumaliza Darasa la saba alipangiwa Tanga School(Tanga Tech), alimaliza tanga Tech form four akapata Dv.two ya 18 ,akapangiwa Old Moshi Sec school kule akafaulu akapata Dv 2, baada ya maticulation ya chuo akachaguliwa Uclass na IFM .akahmua kwenda Uclass . AJABU alipoanza chuo tu matatizo yakamuanza alisoma Ist semister Tu,Then akahairisha chuo mpaka mwaka unaofuata, kubwa kilichokuwa kinamsumbua ni Ugonjwa wa kuanguka ,na kuzimia alikuwa anaweza kuzimia masaaa nane mpaka kumi ,anaweza kuangunka tu ghafla ,iwe kwenye gari, au nyumbani kwao ,somtemses bararani .


Nimejaribu kuongea naye huwa anasema kabla hali ya kuanguka haijamfikia huwa kuna Harufu fulani inakuja,then ufahamu unampotea anaanguka.


Hili suala linaniuma sana wakuu, mimi nimemaliza chuo engineering mwaka 2009,lakini jamaa yangu mpaka leo kila akijitahid kuanza masomo, hiyo hali inamrudia kwa kasi sana, akiwa kawaida yaani hajihusishi na masomo huwa inamtokea lakini sio mara kwa mara.


Ugonjwa huu unamletea madhara hata kiafya ,kwa sababu akianguka huwa anaumia Miguu, mikono, kiuno sometimes anajing'ata sana. kama Juzi jamaa anasema alianguka pale mwenge , akajikuta yupo hospitali ya lugalo aliumia kiuno na miguu .

Nawaomba wakuu ,Tumsaidie huyu Rafiki yangu inaniuma sana wakuu. jamaa tulimaliza wote primary na Ana akili nzuri tu Darasani , lakini mpaka sasa hiv anahangaika mitaani hajui afanye nini,ili aweze kupona.toka umemuanza huu ugonjwa mpaka sasahivi ni miaka minane.

NB. Jamaa ni yatima Baba na mama yake walifariki toka mwaka 1995 anaishi na kaka zake wako watatu kwenye familia yao wote wavulana, yeye ni watatu.

Nimejaribu kuongea na wazazi wangu tuangalie jinsi ya kumsaidia ,wazazi wakaniambia tumpeleke kwenye maombi kanisani ubungo ,pale wanaposali wazee wangu (kalisimatiki) jamaa alikataa kwenda pale ,eti kwa sabau yeye ni Muislamu.

Sasa Nawaombeni jamani kama mtu ana dawa ya huu ugonjwa ,aniPM au kama anaweza kuniambia tumpeleke wapi kwenye Tiba ya ugonjwa huu pia Ani PM. Naombeni ushahuri wowote ninachotaka Rafiki yangu naye Apone wakuu. Ahsanteni
Mkuu ndiyomkuusana kabla ya kushauriwa atumie Dawa gani Mwambie huyo rafiki yako aende hospitali kuchekiwa huenda akawa na ugonjwa wa kifafa.akisha chunguzwa na kujulikana kuwa anaumwa ugonjwa gani ndio tunaweza kumpa ushauri wa kimawazo atumie dawa gani? Ndio hivyo tu ushauri wangu huo kwa sasa.

Poleni sana Mkuu.

Msaada wako unahitajika sana huku Dr MziziMkavu
Huenda akawa na Ugonjwa wa Pepo mbaya anaweza kwenda kwenye Msikiti wa Mtongani kwa Sheikh Kishki akamuombea dua huenda akapona inshallah ITEGAMATWI
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndiyomkuusana kabla ya kushauriwa atumie Dawa gani Mwambie huyo rafiki yako aende hospitali kuchekiwa huenda akawa na ugonjwa wa kifafa.akisha chunguzwa na kujulikana kuwa anaumwa ugonjwa gani ndio tunaweza kumpa ushauri wa kimawazo atumie dawa gani? Ndio hivyo tu ushauri wangu huo kwa sasa.

Huenda akawa na Ugonjwa wa Pepo mbaya anaweza kwenda kwenye Msikiti wa Mtongani kwa Sheikh Kishki akamuombea dua huenda akapona inshallah ITEGAMATWI


kuna kipindi alizidiwa sana ,akapelekwa Hospitali Muhimbili ,akalazwa mwezi mzima ,kuna Dawa walimpa , lakini hazikusaidia mkuu ,Ameshakwenda mpaka Kairuki hospital waliangaika kumsaidia ,lakini ikashindikana
 
ndiyomkuusana,
Je tatizo hilo linamtokwa mara ngapi kwa mwezi, mwaka? Mara ya mwisho tatizo hilo kutokea ni lini? Na ni muda gani mrefu alishawahi kukaa bila hilo tatizo?
Kuna ndugu yeyote katika ukoo (upande wa baba au mama aliyewahi kuwa na tatizo hilo)?
Kuna vipimo gani ambavyo alikwisha wahi fanya, hasa vya kichwa (ubongo)?
 
Last edited by a moderator:
Dunia na walimwengu hii ndugu yangu. Nampa pole sana na ni maombi yangu kwa Mungu ampe afya njema.

Ilimtokea pia jamaa yangu ambaye niliamini angefika mbali kielimu. Jamaa alikuwa kichwa haswaa! Alichaguliwa Mzumbe (enzi izo ni vipaji maalum ).Ilikuwa kila akienda shule, kichwa na macho vilimsumbua sana. Akifanya shughuli zingine nje ya shule anakuwa safi.

Mwisho wa siku nakutana na jamaa, machozi nusura yanitoke. Ilikuwa ni bar, nikaona mmachinga anapita na viatu. Kumuita nithaminishe bidhaa zake, kumbe ni Jamaa yangu.

Ndoto zake za kielimu zilikwamia pale. Inasikitisha sana.
 
Habari wakuu,



Nina Rafiki yangu nilisoma naye primary na nikamliza naye mwaka 2009.
Baada ya kumaliza Darasa la saba alipangiwa Tanga School(Tanga Tech),
alimaliza tanga Tech form four akapata Dv.two ya 18 ,akapangiwa Old
Moshi Sec school kule akafaulu akapata Dv 2, baada ya maticulation ya
chuo akachaguliwa Uclass na IFM .akahmua kwenda Uclass . AJABU alipoanza
chuo tu matatizo yakamuanza alisoma Ist semister Tu,Then akahairisha
chuo mpaka mwaka unaofuata, kubwa kilichokuwa kinamsumbua ni Ugonjwa wa
kuanguka ,na kuzimia alikuwa anaweza kuzimia masaaa nane mpaka kumi
,anaweza kuangunka tu ghafla ,iwe kwenye gari, au nyumbani kwao
,somtemses bararani .


Nimejaribu kuongea naye huwa anasema kabla hali ya kuanguka haijamfikia
huwa kuna Harufu fulani inakuja,then ufahamu unampotea anaanguka.


Hili suala linaniuma sana wakuu, mimi nimemaliza chuo engineering mwaka
2009,lakini jamaa yangu mpaka leo kila akijitahid kuanza masomo, hiyo
hali inamrudia kwa kasi sana, akiwa kawaida yaani hajihusishi na masomo
huwa inamtokea lakini sio mara kwa mara.


Ugonjwa huu unamletea madhara hata kiafya ,kwa sababu akianguka huwa
anaumia Miguu, mikono, kiuno sometimes anajing'ata sana. kama Juzi jamaa
anasema alianguka pale mwenge , akajikuta yupo hospitali ya lugalo
aliumia kiuno na miguu .

Nawaomba wakuu ,Tumsaidie huyu Rafiki yangu inaniuma sana wakuu. jamaa
tulimaliza wote primary na Ana akili nzuri tu Darasani , lakini mpaka
sasa hiv anahangaika mitaani hajui afanye nini,ili aweze kupona.toka
umemuanza huu ugonjwa mpaka sasahivi ni miaka minane.

NB. Jamaa ni yatima Baba na mama yake walifariki toka mwaka 1995 anaishi
na kaka zake wako watatu kwenye familia yao wote wavulana, yeye ni
watatu.

Nimejaribu kuongea na wazazi wangu tuangalie jinsi ya kumsaidia ,wazazi
wakaniambia tumpeleke kwenye maombi kanisani ubungo ,pale wanaposali
wazee wangu (kalisimatiki) jamaa alikataa kwenda pale ,eti kwa sabau
yeye ni Muislamu.

Sasa Nawaombeni jamani kama mtu ana dawa ya huu ugonjwa ,aniPM au kama
anaweza kuniambia tumpeleke wapi kwenye Tiba ya ugonjwa huu pia Ani PM.
Naombeni ushahuri wowote ninachotaka Rafiki yangu naye Apone wakuu.
Ahsanteni

hivi wewe unafikiri watu wa humu(jf) ni matahira?
Acha mizaha kwenye ishu za msingi..
Mmemaliza drs 7 mwaka 2009,eti akamaliza o-level,a-level na kaenda chuo?
BTW,Akizidi kusumbua mtie kibiriti tu!
 
ndiyomkuusana,
Je tatizo hilo linamtokwa mara ngapi kwa mwezi, mwaka? Mara ya mwisho tatizo hilo kutokea ni lini? Na ni muda gani mrefu alishawahi kukaa bila hilo tatizo?
Kuna ndugu yeyote katika ukoo (upande wa baba au mama aliyewahi kuwa na tatizo hilo)?
Kuna vipimo gani ambavyo alikwisha wahi fanya, hasa vya kichwa (ubongo)?

Mkuu Tatizo hili lilimuanza mwaka 2005 , Alipojiunga tu na chuo pale Uclass miaka hiyo, tatizo hili laweza kutokea hata mara tano kwa mwezi,sometimes anaweza kukaa miezi miwili bila kuanguka, siku zingine wiki haipiti anaanguka. Mara ya mwisho kuanguka ni tarehe 31/05/2013 pale mwenge ITv alianguka na kuumia sana , kiuno na miguu , na ulimi , kuja kustuka akajikuta yupo lugalo hospital.

Kuhusu vipimo vy kichwa : alianza kupata vipimo mbalimbali baada ya kuanza kuumwa huu ugonjwa , kabla ya kuanza kuhumwa hajawai kupata vipimo vya kichwa. Majina ya vipimo siyajui ninachojua walimchukua vipimo ,muhimbili na kairuki hospital. ndiyo wakaanza kumpa dawa ,hambazo hazikumaliza tatizo na wala hazikuleta unafuuu wowote.
 
hivi wewe unafikiri watu wa humu(jf) ni matahira?
Acha mizaha kwenye ishu za msingi..
Mmemaliza drs 7 mwaka 2009,eti akamaliza o-level,a-level na kaenda chuo?
BTW,Akizidi kusumbua mtie kibiriti tu!
hapo nilikosea mkuu, darasa la saba tumemaliza 1997, 2009 nimemliza chuo mkuu
 
Hiyo ni epilepsy typical, sasa naomba utupatie drug history yaani madawa aliyotumia. Kwa kipindi chote afu tujue cha kumsaidia
 
Habari wakuu,



Nina Rafiki yangu nilisoma naye primary na nikamliza naye mwaka 1997 ,2009nimemaliza mimi chuo. Baada ya kumaliza Darasa la saba alipangiwa Tanga School(Tanga Tech), alimaliza tanga Tech form four akapata Dv.two ya 18 ,akapangiwa Old Moshi Sec school kule akafaulu akapata Dv 2, baada ya maticulation ya chuo akachaguliwa Uclass na IFM .akahmua kwenda Uclass . AJABU alipoanza chuo tu matatizo yakamuanza alisoma Ist semister Tu,Then akahairisha chuo mpaka mwaka unaofuata, kubwa kilichokuwa kinamsumbua ni Ugonjwa wa kuanguka ,na kuzimia alikuwa anaweza kuzimia masaaa nane mpaka kumi ,anaweza kuangunka tu ghafla ,iwe kwenye gari, au nyumbani kwao ,somtemses bararani .


Nimejaribu kuongea naye huwa anasema kabla hali ya kuanguka haijamfikia huwa kuna Harufu fulani inakuja,then ufahamu unampotea anaanguka.


Hili suala linaniuma sana wakuu, mimi nimemaliza chuo engineering mwaka 2009,lakini jamaa yangu mpaka leo kila akijitahid kuanza masomo, hiyo hali inamrudia kwa kasi sana, akiwa kawaida yaani hajihusishi na masomo huwa inamtokea lakini sio mara kwa mara.


Ugonjwa huu unamletea madhara hata kiafya ,kwa sababu akianguka huwa anaumia Miguu, mikono, kiuno sometimes anajing'ata sana. kama Juzi jamaa anasema alianguka pale mwenge , akajikuta yupo hospitali ya lugalo aliumia kiuno na miguu .

Nawaomba wakuu ,Tumsaidie huyu Rafiki yangu inaniuma sana wakuu. jamaa tulimaliza wote primary na Ana akili nzuri tu Darasani , lakini mpaka sasa hiv anahangaika mitaani hajui afanye nini,ili aweze kupona.toka umemuanza huu ugonjwa mpaka sasahivi ni miaka minane.

NB. Jamaa ni yatima Baba na mama yake walifariki toka mwaka 1995 anaishi na kaka zake wako watatu kwenye familia yao wote wavulana, yeye ni watatu.

Nimejaribu kuongea na wazazi wangu tuangalie jinsi ya kumsaidia ,wazazi wakaniambia tumpeleke kwenye maombi kanisani ubungo ,pale wanaposali wazee wangu (kalisimatiki) jamaa alikataa kwenda pale ,eti kwa sabau yeye ni Muislamu.

Sasa Nawaombeni jamani kama mtu ana dawa ya huu ugonjwa ,aniPM au kama anaweza kuniambia tumpeleke wapi kwenye Tiba ya ugonjwa huu pia Ani PM. Naombeni ushahuri wowote ninachotaka Rafiki yangu naye Apone wakuu. Ahsanteni

Ana STATUS EPILEPTICUS huyo ndio mtu anapata seizures za muda mrefu over 30 minutes.Aende hosp akachekiwe ubongo MR and EEG na akipatwa na hizo seizures anahitaji intravenous benzodiazepine(Diazepam) and Fenytoin.
STATUS EPILEPTICUS:is when u get long series of seizures which is very serious and need immediate treatment.
Alosema Dr. Wansegamila ni sahihi kwasababu asipotibiwa atasababisha edema kwenye ubongo na celle damage which can result into permanent cerebrale damage.Na mbeleni inaweza kusababisha matatizo kwenye pumzi,moyo na mafigo.
 
Dubiani bana, hujafa hujaumbika lol!
Nimesikitika kweli, Mungu atamsaidia ila mwambie akubali kwenda kuombewa hata kama ni msikitini lakini anaweza hata kwenda kuombewa kanisani hata kama ni muislam ili mradi tu awe na imani kwamba atapona
 
maombi..akubali kufanya maombi kwa imani yake..hakuna lisilowezekana mbele zake Mungu
 
Ana STATUS EPILEPTICUS huyo ndio mtu anapata seizures za muda mrefu over 30 minutes.Aende hosp akachekiwe ubongo MR and EEG na akipatwa na hizo seizures anahitaji intravenous benzodiazepine(Diazepam) and Fenytoin.
STATUS EPILEPTICUS:is when u get long series of seizures which is very serious and need immediate treatment.
Alosema Dr. Wansegamila ni sahihi kwasababu asipotibiwa atasababisha edema kwenye ubongo na celle damage which can result into permanent cerebrale damage.Na mbeleni inaweza kusababisha matatizo kwenye pumzi,moyo na mafigo.

Sawa mkuu nitalifanyia kazi hilo,Mungu akubariki kwa ushauri wako mzuri
 
Back
Top Bottom