MSAADA: Rafiki yangu anaota sana njozi kwa sauti

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,606
Habari wakuu!Kuota ndoto ni jambo la kawaida kwa mwanadamu ila hii imezoeleka na kujulikana kwamba huwa tunaota kimyakimya.Ikitokea mtu kuota kwa sauti basi ni mara chache sana na huwa ni sentensi fupifupi sana.Ila hili la rafiki yangu limekuwa tofauti.Yeye huota kwa sauti mara zote na huongea sentensi hadi tatu.

Kuna muda huamka na kukaa kabisa na kuongea angali yupo usingizini.Kama hujamuangalia ukaishia kuisikia sauti unaweza kuhisi anaongea kabisa na wewe na unaweza kumjibu ukijua mko pamoja kumbe mwamba ANAOTA.

Yeye anaijua hali yake mana siku ya kwanza kuwa nae (mara nyingi mimi ni mtu wa kukesha au kuchelewa kulala) asubuhi aliniuliza "NILIOTA SANA EEE" Nakumbuka nilimjibu "amnaaaa hujaota".Nilimjibu hivyo nikiamini yale Maswali na maneno ya usiku ni katika maongezi ya kawaida kumbe mwamba aliongea ndotoni.Hii ni kutokana na ugeni ila kumbe anajijua hali yake hivyo alitaka uthibitisho.

livyotokea siku za mbeleni ndio nikajua mwamba ANAOTA KWA SAUTI.Utamsikia akisema "Broo leo unakomaeeee","Vipi unakaza mwenyewe","Ahaa naona mambo yanaenda".....Sasa sentensi kama hizi mwanzoni nilikuwa namjibu nikiamini ananiuliza juu shughuli zangu usiku huo yeye akiwa amelala kumbe mwamba yuko usingizini.

Saa nyingine huongea mambo ya familia,kazi yaani mara nyingi ni vitu vyenye maana na uhalisia.Yaani naweza kusema mwamba akichepuka anaweza kuongea yote ndotoni.Yeye binafsi haipendi hali yake iyo japo kaambiwa na mama yake itaisha yenyewe.

Anatafuta msaada kuacha kuota kwa namna hii (kwa sauti).Wadau wa tiba asili,kisunna, kisayansi mnakaribishwa tumsaidie kijana.
 
Habari wakuu!Kuota ndoto ni jambo la kawaida kwa mwanadamu ila hii imezoeleka na kujulikana kwamba huwa tunaota kimyakimya.Ikitokea mtu kuota kwa sauti basi ni mara chache sana na huwa ni sentensi fupifupi sana.Ila hili la rafiki yangu limekuwa tofauti.Yeye huota kwa sauti mara zote na huongea sentensi hadi tatu.

Kuna muda huamka na kukaa kabisa na kuongea angali yupo usingizini.Kama hujamuangalia ukaishia kuisikia sauti unaweza kuhisi anaongea kabisa na wewe na unaweza kumjibu ukijua mko pamoja kumbe mwamba ANAOTA.

Yeye anaijua hali yake mana siku ya kwanza kuwa nae (mara nyingi mimi ni mtu wa kukesha au kuchelewa kulala) asubuhi aliniuliza "NILIOTA SANA EEE" Nakumbuka nilimjibu "amnaaaa hujaota".Nilimjibu hivyo nikiamini yale Maswali na maneno ya usiku ni katika maongezi ya kawaida kumbe mwamba aliongea ndotoni.Hii ni kutokana na ugeni ila kumbe anajijua hali yake hivyo alitaka uthibitisho.

livyotokea siku za mbeleni ndio nikajua mwamba ANAOTA KWA SAUTI.Utamsikia akisema "Broo leo unakomaeeee","Vipi unakaza mwenyewe","Ahaa naona mambo yanaenda".....Sasa sentensi kama hizi mwanzoni nilikuwa namjibu nikiamini ananiuliza juu shughuli zangu usiku huo yeye akiwa amelala kumbe mwamba yuko usingizini.

Saa nyingine huongea mambo ya familia,kazi yaani mara nyingi ni vitu vyenye maana na uhalisia.Yaani naweza kusema mwamba akichepuka anaweza kuongea yote ndotoni.Yeye binafsi haipendi hali yake iyo japo kaambiwa na mama yake itaisha yenyewe.

Anatafuta msaada kuacha kuota kwa namna hii (kwa sauti).Wadau wa tiba asili,kisunna, kisayansi mnakaribishwa tumsaidie kijana.
Ana pepo mchafu ndio anaye muotesha ndoto za kutisha anitafute mimi nipate kumtibia awache kuota ndoto mbaya za kupihga makelele.
 
Kuna mmoja yeye anaota ugomvi. Anaamka kabisa kutoka kitandani na anafanya vurugu humo chumbani. Mara ya kwanza kumjua watu walifikiri ugomvi uko nje, wanachungulia nje na kumuuliza mlinzi kwema huko? Mlinzi anajibu vurugu ziko huko ndani!
 
Katika umri wako huo bado unalala tu na huyo rafiki yako chumba kimoja/kitanda kimoja! Ndiyo kubana matumizi, au!

Ok basi sawa.
 
Ana pepo mchafu ndio anaye muotesha ndoto za kutisha anitafute mimi nipate kumtibia awache kuota ndoto mbaya za kupihga makelele.
kwa hakika hapigi makelele ni anaongea tu kama kawaida yan hadi unadhani anaongea na wewe kumbe yuko sayar ingine.
 
Kuna mmoja yeye anaota ugomvi. Anaamka kabisa kutoka kitandani na anafanya vurugu humo chumbani. Mara ya kwanza kumjua watu walifikiri ugomvi uko nje, wanachungulia nje na kumuuliza mlinzi kwema huko? Mlinzi anajibu vurugu ziko huko ndani!
Dah kweli janga
 
Niliwahi kuwa na hii hali, sikumbuki kitu gani kilitokea ila imetoweka kabisa.
1. Ilikua ni kawaida kuongelea tukio nililolifanya mchana usiku nikiwa ndotoni, na ntaeleza kila kitu japo nipo usingizini.

2. Nilikua naweza kuamka nikiwa ndotoni nikatembea au hata kutoka nje na kukiwa na mtu anaweza akanisemesha nikamjibu lakini kumbe nipo ndotoni.

Ni hatari sana. Nashukuru iliisha yenyewe...siku hizi sioti chochote, ikitokea ni nadra sana na asubuhi sikumbuki tena nilichokiota.
 
Katika umri wako huo bado unalala tu na huyo rafiki yako chumba kimoja/kitanda kimoja! Ndiyo kubana matumizi, au!

Ok basi sawa.
Ofisini mwamba tuna na godoro la kulala mana ishu ni kupirate movie so huyu akilala huyu anabaki kudownload mwingine kuchapa cd mwingine Cover yan kukesha kawaida so inapotokea mtu kulala basi ujue yupo aliyemacho.
 
Niliwahi kuwa na hii hali, sikumbuki kitu gani kilitokea ila imetoweka kabisa.
1. Ilikua ni kawaida kuongelea tukio nililolifanya mchana usiku nikiwa ndotoni, na ntaeleza kila kitu japo nipo usingizini.

2. Nilikua naweza kuamka nikiwa ndotoni nikatembea au hata kutoka nje na kukiwa na mtu anaweza akanisemesha nikamjibu lakini kumbe nipo ndotoni.

Ni hatari sana. Nashukuru iliisha yenyewe...siku hizi sioti chochote, ikitokea ni nadra sana na asubuhi sikumbuki tena nilichokiota.
dah so tumpe subra kijana mana had huogopa kulala palipo na wageni
 
Habari wakuu!Kuota ndoto ni jambo la kawaida kwa mwanadamu ila hii imezoeleka na kujulikana kwamba huwa tunaota kimyakimya.Ikitokea mtu kuota kwa sauti basi ni mara chache sana na huwa ni sentensi fupifupi sana.Ila hili la rafiki yangu limekuwa tofauti.Yeye huota kwa sauti mara zote na huongea sentensi hadi tatu.

Kuna muda huamka na kukaa kabisa na kuongea angali yupo usingizini.Kama hujamuangalia ukaishia kuisikia sauti unaweza kuhisi anaongea kabisa na wewe na unaweza kumjibu ukijua mko pamoja kumbe mwamba ANAOTA.

Yeye anaijua hali yake mana siku ya kwanza kuwa nae (mara nyingi mimi ni mtu wa kukesha au kuchelewa kulala) asubuhi aliniuliza "NILIOTA SANA EEE" Nakumbuka nilimjibu "amnaaaa hujaota".Nilimjibu hivyo nikiamini yale Maswali na maneno ya usiku ni katika maongezi ya kawaida kumbe mwamba aliongea ndotoni.Hii ni kutokana na ugeni ila kumbe anajijua hali yake hivyo alitaka uthibitisho.

livyotokea siku za mbeleni ndio nikajua mwamba ANAOTA KWA SAUTI.Utamsikia akisema "Broo leo unakomaeeee","Vipi unakaza mwenyewe","Ahaa naona mambo yanaenda".....Sasa sentensi kama hizi mwanzoni nilikuwa namjibu nikiamini ananiuliza juu shughuli zangu usiku huo yeye akiwa amelala kumbe mwamba yuko usingizini.

Saa nyingine huongea mambo ya familia,kazi yaani mara nyingi ni vitu vyenye maana na uhalisia.Yaani naweza kusema mwamba akichepuka anaweza kuongea yote ndotoni.Yeye binafsi haipendi hali yake iyo japo kaambiwa na mama yake itaisha yenyewe.

Anatafuta msaada kuacha kuota kwa namna hii (kwa sauti).Wadau wa tiba asili,kisunna, kisayansi mnakaribishwa tumsaidie kijana.
Benzodiazepines
 
dah so tumpe subra kijana mana had huogopa kulala palipo na wageni

Avute subra, ana mke au chumba? Namaanisha huduma anapata? Sijui kitu gani kilinitokea lakini nahisi nilipoanza hizo harakati hali ilipotea yenyewe bila kujua.
 
Benzodiazepines
Thanks
IMG_20210222_022027_430.jpg
IMG_20210222_022113_158.jpg
 
Niliwahi kuwa na hii hali, sikumbuki kitu gani kilitokea ila imetoweka kabisa.
1. Ilikua ni kawaida kuongelea tukio nililolifanya mchana usiku nikiwa ndotoni, na ntaeleza kila kitu japo nipo usingizini.

2. Nilikua naweza kuamka nikiwa ndotoni nikatembea au hata kutoka nje na kukiwa na mtu anaweza akanisemesha nikamjibu lakini kumbe nipo ndotoni.

Ni hatari sana. Nashukuru iliisha yenyewe...siku hizi sioti chochote, ikitokea ni nadra sana na asubuhi sikumbuki tena nilichokiota.
Mkuu hyo yakuamka na kutembea huku ukiwa usingizini ni atari sana siku ungeweza hata kupotea 😂😂😂
 
Back
Top Bottom