Msaada Pumu ya ngozi (Eczema dermatitis)

MAHENDEKA

JF-Expert Member
Jul 9, 2010
306
152
Wasalaam wanajf wenzangu natumai mu wazima mpo katika ratiba zenu kutekeleza majukumu ya kila siku... Awali ya yote napenda kumpa pole Mwana Bwiru Boys mwenzangu na mmoja kati ya waasisi wa jukwaa letu pendwa Jf kwa yote yanayomsibu,Mungu ampe subra yote yanapita. Pili nipende kuchukua nafasi nyingine kwa mara nyingine kuwaelezea tatizo linalonisibu mwenzenu, kwa yeyote mwenye wazo anisaidie,namna ya kutibu ugonjwa huu au namna bora ya kuishi nao usinitese kama unavonitesa sasa hivi

Ni kwamba naumwa ugonjwa unaofanana kwa iasi kikubwa na huu hapa kwenye picha hii.. Ni pumu (asthma) ya ngozi ndo eczema dermatitis pia na asthma ya kubana kifua
ngozi.jpeg




Haya magonjwa mawili ninayo toka kuzaliwa japo asthma kwa maana ya kifua cha kubana siku hizi imeacha kunisumbua.

Sasa hivi ninapoongea na umri wa takribani miaka 30,ngozi imechachamaa, inawasha kuliko maelezo, usoni, kifuani, kwenye makwapa,mgongoni kwenye maungio ya miguu na mikono yameathirika sana kama picha inavoonyesha hapo na najikuna kiasi cha vidonda kutokea, ngozi inakua kama inachoma choma na kuwasha sana. Nikijimwagia maji kuoga tu ni kama nimeamsha miwasho miwasho

Nimewahi kufanya vipimo hospitalini bila mafanikio.. Hapa dar kuna hospitali inaitwa ekenywa ipo magomeni jirani na sanamu la michelin kule,nilipata maelezo toka kwa mtu wangu wa karibu kuwa wanapima allergy,japo gharama zao ni juu sana nilikwenda kufanya vipimo vya allergy,nikaambiwa na allergy na vitu vingi sana.

Ikiwemo maziwa, kachumbari, samaki na dagaa wa aina zote, maziwa, mayai, nyama ya kuku na nguruwe, mayai, na vyakula vyote vyenye asili ya ngano, nisikae kwenye vumbi wala kuvaa nguo mara mbili bila kuifua.. Nilikaa kwa muda wa miezi 3,sigusi kabisa vyakula hivyo lakini wapi,sioni mabadiliko yeyote.

Baadae nikarudi tena hapo Ekenywa kupeleka ripoti, nikaandikiwa dawa zingine nimeziorodhesha hapa chini

1. Zocon fluconazole tablets

2. Azijub azithromythin tablets

3.Azithral 500

na

4.Betaderm(hii ni tube ya kupaka) pia nilichomwa sindano inaitwa Diprofosol(sina hakika sana na jina hilo kama nimeliandika vizuri ila nilimuuliza nesi jina la sindano ndo akaniambia) .

Baada ya kutumia hizo dawa ngozi ikawa very clean and clear na ugonjwa ukaisha wote na mambo ya kuwasha washa yakaisha, nilitumia hizo dawa kwa takriban mwezi mmoja dozi ilipoisha nikakaa kama wiki mbili hv au tatu mara ghafla ile miwasho miwasho ikaanza tena kwa mbaali ,mara nikaanza kuwashwa tena sasa hv ugonjwa umerudi tena kama zamani..nikijimwagia maji wakti naoga ni shida najikuna utadhani nimeswichiwa..Waga natumia dawa inaitwa gentriderm cream hii ni cream napakaa sehemu yenye jeraha,dawa hii inanipaga unafuu kwa muda tu,pindi napopaka ugonjwa unaisha ila nikiacha mambo yanakua vile vile,nikitumia safi cream au acrason hazinipi unafuu wowote
Picha ya Gentriderm cream hii hapa
gentriderm.jpg


Nitoe ombi kwa wataalamu na wanataaluma humu dani wanajamiiforum wenzangu naombeni mnisaidie mwenzenu hata namna tu navyoweza kuishi na huu ugonjwa,najua humu kuna wataalamu wengi,natumiaga muda mwingi kusoma jukwaa hili kwa umakini huenda ntapata wazo la nini huenda kinanisumbua lakini nimegonga mwamba ... Sijarudia kuchoma tena sindano ile ya diprofosol maana niliambiwa hizo sindano sio nzuri kiafya kuwa unachoma kila mara,zinadhoofisha kinga ya mwili nikaogopa .... Kwa hio nipo nateseka na ugonjwa huu eczema au pumu ya ngozi mpaka nakosa raha

Asanteni naomba kuwakilisha
 
Pole sana kaka Mahendeka.

Kwanza nashukuru kwamba umeshaenda hospitali. Wengi huja kuomba msaada kabla hata hawajaenda hospitali.

Sijajua hospitali ya Ekenywa kwa sasa ikoje kwa kutoa matibabu, japo nakumbuka baba yao alikuwa ni mtaalam wa E.N.T, labda kama wanawe wamebobea kwenye magonjwa ya ngozi au labda kuna mtaalam huwa anakuja pale kwa mda maalum.

Mimi nakushauri uende kwa specialist wa magonjwa ya ngozi. Wanaitwa dermatologist. Wanapatikana pale muhimbili kama upo Dar, lakini pia hawa madaktari huwa wanafanya part time kwenye hospitali binafsi.

Namfahamu mmoja anaitwa Prof. Mgonda, mara nyingi jioni huwa anaenda pale Agha Khan na jumamosi huwa anaenda pale regency japo huwa ana wagonjwa wengi sana.

Pole mkuu, usikate tamaa.

Deal na specialist mmoja mpaka utakapo ona hamna mafanikio ndiyo uombe second opinion.
 
pole sana ndugu, binti yangu alizaliwa na hilo tatizo ila kwa bahati alipona kabla hajafikisha mwaka, tulitumia dawa za hospitali na pia kuna mtu alinishauri nimpake mafuta ya ubuyu mpaka sasa ana miaka minne yupo ok. jaribu kuyatumia yanaweza kukusaidia
 
Ndugu pole Kwa yanayokusibu

Nikusaidie Kwa kifupi

Mama yangu anagugua huu ugonjwa alifanikiwa kwenda kcmc

Kuna dawa n mafuta yako kama Aina tatu unapaka unapomaliza kuoga


Na pia zingatia haya

Usikae sehem zenye vumbi make sure vumbi halikugusi
 
Pole sana mkuu nikuombe ukifanikiwa utuletee mrejesho na aina ya tiba.Kila LA KHER member
 
Wasalaam wanajf wenzangu natumai mu wazima mpo katika ratiba zenu kutekeleza majukumu ya kila siku... Awali ya yote napenda kumpa pole Mwana Bwiru Boys mwenzangu na mmoja kati ya waasisi wa jukwaa letu pendwa Jf kwa yote yanayomsibu,Mungu ampe subra yote yanapita. Pili nipende kuchukua nafasi nyingine kwa mara nyingine kuwaelezea tatizo linalonisibu mwenzenu, kwa yeyote mwenye wazo anisaidie,namna ya kutibu ugonjwa huu au namna bora ya kuishi nao usinitese kama unavonitesa sasa hivi

Ni kwamba naumwa ugonjwa unaofanana kwa iasi kikubwa na huu hapa kwenye picha hii.. Ni pumu (asthma) ya ngozi ndo eczema dermatitis pia na asthma ya kubana kifua
View attachment 448408



Haya magonjwa mawili ninayo toka kuzaliwa japo asthma kwa maana ya kifua cha kubana siku hizi imeacha kunisumbua.

Sasa hivi ninapoongea na umri wa takribani miaka 30,ngozi imechachamaa, inawasha kuliko maelezo, usoni, kifuani, kwenye makwapa,mgongoni kwenye maungio ya miguu na mikono yameathirika sana kama picha inavoonyesha hapo na najikuna kiasi cha vidonda kutokea, ngozi inakua kama inachoma choma na kuwasha sana. Nikijimwagia maji kuoga tu ni kama nimeamsha miwasho miwasho

Nimewahi kufanya vipimo hospitalini bila mafanikio.. Hapa dar kuna hospitali inaitwa ekenywa ipo magomeni jirani na sanamu la michelin kule,nilipata maelezo toka kwa mtu wangu wa karibu kuwa wanapima allergy,japo gharama zao ni juu sana nilikwenda kufanya vipimo vya allergy,nikaambiwa na allergy na vitu vingi sana.

Ikiwemo maziwa, kachumbari, samaki na dagaa wa aina zote, maziwa, mayai, nyama ya kuku na nguruwe, mayai, na vyakula vyote vyenye asili ya ngano, nisikae kwenye vumbi wala kuvaa nguo mara mbili bila kuifua.. Nilikaa kwa muda wa miezi 3,sigusi kabisa vyakula hivyo lakini wapi,sioni mabadiliko yeyote.

Baadae nikarudi tena hapo Ekenywa kupeleka ripoti, nikaandikiwa dawa zingine nimeziorodhesha hapa chini

1. Zocon fluconazole tablets

2. Azijub azithromythin tablets

3.Azithral 500

na

4.Betaderm(hii ni tube ya kupaka) pia nilichomwa sindano inaitwa Diprofosol(sina hakika sana na jina hilo kama nimeliandika vizuri ila nilimuuliza nesi jina la sindano ndo akaniambia) .

Baada ya kutumia hizo dawa ngozi ikawa very clean and clear na ugonjwa ukaisha wote na mambo ya kuwasha washa yakaisha, nilitumia hizo dawa kwa takriban mwezi mmoja dozi ilipoisha nikakaa kama wiki mbili hv au tatu mara ghafla ile miwasho miwasho ikaanza tena kwa mbaali ,mara nikaanza kuwashwa tena sasa hv ugonjwa umerudi tena kama zamani..nikijimwagia maji wakti naoga ni shida najikuna utadhani nimeswichiwa..Waga natumia dawa inaitwa gentriderm cream hii ni cream napakaa sehemu yenye jeraha,dawa hii inanipaga unafuu kwa muda tu,pindi napopaka ugonjwa unaisha ila nikiacha mambo yanakua vile vile,nikitumia safi cream au acrason hazinipi unafuu wowote
Picha ya Gentriderm cream hii hapa
View attachment 448413

Nitoe ombi kwa wataalamu na wanataaluma humu dani wanajamiiforum wenzangu naombeni mnisaidie mwenzenu hata namna tu navyoweza kuishi na huu ugonjwa,najua humu kuna wataalamu wengi,natumiaga muda mwingi kusoma jukwaa hili kwa umakini huenda ntapata wazo la nini huenda kinanisumbua lakini nimegonga mwamba ... Sijarudia kuchoma tena sindano ile ya diprofosol maana niliambiwa hizo sindano sio nzuri kiafya kuwa unachoma kila mara,zinadhoofisha kinga ya mwili nikaogopa .... Kwa hio nipo nateseka na ugonjwa huu eczema au pumu ya ngozi mpaka nakosa raha

Asanteni naomba kuwakilisha
Kama uko kanda ya ziwa nipm nikuelekeze kwa mtaalam. Mwanangu aliangaika sana na magonjwa ya ngozi huyo dr alinisaidia na sasa ni historia
 
Daah..pole sana ndugu.nadhani namimi nina tatizo kama lako mie vinanitokea mikononi karibu na mabega nimehangaika sana bila mafanikio.kuna daktari mmoja hivi nilimkuta aghakani ya mwanza alikuwa mzungu aliniandikia dawa moja inaitwa syclic acid kitu kama hicho,nilienda famacy kubwa hapo mwanza walinambia hazipo mpaka watoe oda bugando wakaandae maabara.
 
Kama uko kanda ya ziwa nipm nikuelekeze kwa mtaalam. Mwanangu aliangaika sana na magonjwa ya ngozi huyo dr alinisaidia na sasa ni historia
Naomba na mimi unipe huo msaana wa maelekezo nipo kanda ya ziwa tafadhari.
 
Wasalaam wanajf wenzangu natumai mu wazima mpo katika ratiba zenu kutekeleza majukumu ya kila siku... Awali ya yote napenda kumpa pole Mwana Bwiru Boys mwenzangu na mmoja kati ya waasisi wa jukwaa letu pendwa Jf kwa yote yanayomsibu,Mungu ampe subra yote yanapita. Pili nipende kuchukua nafasi nyingine kwa mara nyingine kuwaelezea tatizo linalonisibu mwenzenu, kwa yeyote mwenye wazo anisaidie,namna ya kutibu ugonjwa huu au namna bora ya kuishi nao usinitese kama unavonitesa sasa hivi

Ni kwamba naumwa ugonjwa unaofanana kwa iasi kikubwa na huu hapa kwenye picha hii.. Ni pumu (asthma) ya ngozi ndo eczema dermatitis pia na asthma ya kubana kifua
View attachment 448408



Haya magonjwa mawili ninayo toka kuzaliwa japo asthma kwa maana ya kifua cha kubana siku hizi imeacha kunisumbua.

Sasa hivi ninapoongea na umri wa takribani miaka 30,ngozi imechachamaa, inawasha kuliko maelezo, usoni, kifuani, kwenye makwapa,mgongoni kwenye maungio ya miguu na mikono yameathirika sana kama picha inavoonyesha hapo na najikuna kiasi cha vidonda kutokea, ngozi inakua kama inachoma choma na kuwasha sana. Nikijimwagia maji kuoga tu ni kama nimeamsha miwasho miwasho

Nimewahi kufanya vipimo hospitalini bila mafanikio.. Hapa dar kuna hospitali inaitwa ekenywa ipo magomeni jirani na sanamu la michelin kule,nilipata maelezo toka kwa mtu wangu wa karibu kuwa wanapima allergy,japo gharama zao ni juu sana nilikwenda kufanya vipimo vya allergy,nikaambiwa na allergy na vitu vingi sana.

Ikiwemo maziwa, kachumbari, samaki na dagaa wa aina zote, maziwa, mayai, nyama ya kuku na nguruwe, mayai, na vyakula vyote vyenye asili ya ngano, nisikae kwenye vumbi wala kuvaa nguo mara mbili bila kuifua.. Nilikaa kwa muda wa miezi 3,sigusi kabisa vyakula hivyo lakini wapi,sioni mabadiliko yeyote.

Baadae nikarudi tena hapo Ekenywa kupeleka ripoti, nikaandikiwa dawa zingine nimeziorodhesha hapa chini

1. Zocon fluconazole tablets

2. Azijub azithromythin tablets

3.Azithral 500

na

4.Betaderm(hii ni tube ya kupaka) pia nilichomwa sindano inaitwa Diprofosol(sina hakika sana na jina hilo kama nimeliandika vizuri ila nilimuuliza nesi jina la sindano ndo akaniambia) .

Baada ya kutumia hizo dawa ngozi ikawa very clean and clear na ugonjwa ukaisha wote na mambo ya kuwasha washa yakaisha, nilitumia hizo dawa kwa takriban mwezi mmoja dozi ilipoisha nikakaa kama wiki mbili hv au tatu mara ghafla ile miwasho miwasho ikaanza tena kwa mbaali ,mara nikaanza kuwashwa tena sasa hv ugonjwa umerudi tena kama zamani..nikijimwagia maji wakti naoga ni shida najikuna utadhani nimeswichiwa..Waga natumia dawa inaitwa gentriderm cream hii ni cream napakaa sehemu yenye jeraha,dawa hii inanipaga unafuu kwa muda tu,pindi napopaka ugonjwa unaisha ila nikiacha mambo yanakua vile vile,nikitumia safi cream au acrason hazinipi unafuu wowote
Picha ya Gentriderm cream hii hapa
View attachment 448413

Nitoe ombi kwa wataalamu na wanataaluma humu dani wanajamiiforum wenzangu naombeni mnisaidie mwenzenu hata namna tu navyoweza kuishi na huu ugonjwa,najua humu kuna wataalamu wengi,natumiaga muda mwingi kusoma jukwaa hili kwa umakini huenda ntapata wazo la nini huenda kinanisumbua lakini nimegonga mwamba ... Sijarudia kuchoma tena sindano ile ya diprofosol maana niliambiwa hizo sindano sio nzuri kiafya kuwa unachoma kila mara,zinadhoofisha kinga ya mwili nikaogopa .... Kwa hio nipo nateseka na ugonjwa huu eczema au pumu ya ngozi mpaka nakosa raha

Asanteni naomba kuwakilisha
mungu akutie wepesi, dawa za asil ushajaribu?
 
Pole ndugu. Kwa jopo wataalam waliopo humu naimani ukifuata ushauri wao utapona kabisa
 
Daah..pole sana ndugu.nadhani namimi nina tatizo kama lako mie vinanitokea mikononi karibu na mabega nimehangaika sana bila mafanikio.kuna daktari mmoja hivi nilimkuta aghakani ya mwanza alikuwa mzungu aliniandikia dawa moja inaitwa syclic acid kitu kama hicho,nilienda famacy kubwa hapo mwanza walinambia hazipo mpaka watoe oda bugando wakaandae maabara.

Huu ni ugojwa mbaya sana,unashindwa hata kujiamini unapokua mbele za watu,ni ngumu kuzuia miwasho au kujitahidi usijikune....kuna mtu alinishauri nitumie sabuni inaitwa "testimosol" ya Nigeria sio India nikainunua nakuanza itumia,hii sabuni ni nzuri kwa kweli kama kuna mtu ana magonjwa jamii ya fangasifangasi aitumie maana haina madhara.Mimi ndo naitumia mpaka sasa nilikua na fangasi kwenye kidole cha mguuni lakini waliisha wote ila ugonjwa huu tu ndo bado umekua ishu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom