Duet, nimeshashuhudia betri ikionyesha unjano wa uzima lakini sio nzima.Wakuu gari yangu ni Nissan Note, kuna wakati ikizimwa haiwezi kuwaka mpaka nipate msaada wa ku boost kwa betri nyingine. Lakini ikiachwa mpaka ipoe kabisa mfano ni kuiacha usiku kucha asubuhi inawaka bila shida. Betri ni nzima na inaonesha alama ya uzima (kijani). Nini laweza kuwa tatizo?
Misfire imeisha ila tatizo taa ya check engine imegoma kutoka.Miss ni tatizo dogoo sana! Nakuhakikishia gari yako itapona usisite kujibu kila ntakalokuuliza.
Ni pm mkuu!!!Msaada wadau gari yangu aina ya Premio old model imekuwa ikiwasha taa ya engine check nimepeleka kwa mafundi tatizo haliishi tatizo lenyewe ni gari kumis na kutokuwa na nguvu unapopanda mlima. Naomba msaada mwenye uelewa na mambo haya.