zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
Wanajamvi salamu kwenu!!
naombeni mnijuze kwa mtu anayejua sheria ya kazi / sheria za uzazi kuna mtu kanieleza jambo ambalo limenitatiza kuhusu likizo ya uzazi kwa wanawake!
Ni kweli kuwa eti mwanamke akichukua likizo ya uzazi(Kwenda kujifungua) kwa mwaka huu ikatokea mwaka unaofuatia amepata ujaa uzito tena na anahitaji kwenda kujifungua hawezi kupewa likizo tena? tena kwa wafanyakazi wa sekta za uma
...mfano mke wangu amejifungua mwaka huu akapewa likizo ya kwenda kujifungua ikatokea mwaka unaofuatia kapata ujauzito na anahitaji kujifungua tena hatapewi ruhusa kwa mwaka unaofuatia?
naombeni mnijuze kwa mtu anayejua sheria ya kazi / sheria za uzazi kuna mtu kanieleza jambo ambalo limenitatiza kuhusu likizo ya uzazi kwa wanawake!
Ni kweli kuwa eti mwanamke akichukua likizo ya uzazi(Kwenda kujifungua) kwa mwaka huu ikatokea mwaka unaofuatia amepata ujaa uzito tena na anahitaji kwenda kujifungua hawezi kupewa likizo tena? tena kwa wafanyakazi wa sekta za uma
...mfano mke wangu amejifungua mwaka huu akapewa likizo ya kwenda kujifungua ikatokea mwaka unaofuatia kapata ujauzito na anahitaji kujifungua tena hatapewi ruhusa kwa mwaka unaofuatia?