vickboy.com
Member
- Jul 29, 2013
- 85
- 23
Habarin wana jukwaa, naomba kuuliza, niliwahi kuchaguliwa 2010 kujiunga na chuo cha ifm na mkopo nilipata kwa bahat mbaya nikawa nasumbuliwa kiafya so nikashindwa kwenda chuon na wala sikutoa tarifa mpaka nilipokuja kuapply mwaka huu na kupata chuo st.joreph songea pia nikabahatika kupata mkopo but tulipokuwa tunasain jina likawa limeandikiwa loanee suspended so nililazimika kwenda bod kucheck what is wrong wakaniambia ifm hawakurudsha hela na waliponitafutia customer statement ili onesha hawakurudisha 535000 ambayo ni stationary na meals&accomodation, je naweza kuzipata hizo hela au ndo sadaka maana nilipoenda ifm mhasibu alisema halioni jina langu na mi niliondoka haraka kutokana ruhusa kuwa imeisha nikaamua nitarud tena.