KAOROGOMA
JF-Expert Member
- Jun 26, 2015
- 510
- 756
Wenzangu nimepata gari kampala kuna mtu anataka kuniuzia , lakin naomba kujua utaratibu wa kuingiza magari kutoka nchi zetu jirani kama kenya na uganda ,kodi yake tunalipaje? Ni kama mtu aliyelinunua japan?
Naomba msaada wenye ambao ujuzi na uzoefu wa kuingiza magari kutoka nchi jirani,
Asante
Naomba msaada wenye ambao ujuzi na uzoefu wa kuingiza magari kutoka nchi jirani,
Asante