Msaada plse...

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,063
115,461
Kuna information nazitafuta kwenye mitandao.....
sizipati,kama kuna mtu anajua ni mitandao ipi
naweza kuzipata naomba msaada tafadhali....

kwanza nahitaji info kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia
kwa Tanzania,Kenya na Uganda.
--ukubwa wa soko(market cap)
--ni kampuni gani zina dominate
--ukubwa wa soko wa miji mikubwa
Dar,Nairobi,Kampala...
--Kwa kiwango gani local productions
ina shika soko kulinganisha na imports??
na kwa ujumla ni biashara ya thamani gani kwa mwaka.???

mwenye kujua anisaidie.....
 
Kila nikijaribu kuangalia yellow page ya Tanzania kwanza siielewi ..inakuwa ngumu kwangu kutoa jibu
nilikuwa natafuta information fulani sikupata
 
Kila nikijaribu kuangalia yellow page ya Tanzania kwanza siielewi ..inakuwa ngumu kwangu kutoa jibu
nilikuwa natafuta information fulani sikupata
first lady
sijui kama tumeelewana.
mimi nahitaji zaidi website zenye info hizo,
sio yellow page.
 
KWA UZOEFU WANGU MDOGO!biashara unayoiplan kuna huyu murzar-oil,na bakhressa,na METL wanafanya.pia wamefika hadi sudan na central africa sasa.we tafuta mtu wa marketing (au yoyote anaeweza ku-penetrate huko) akakusaidie kuchunguza what is happening.

lakini ni vigumu sana kushindana na hawa wa-asia
 
KWA UZOEFU WANGU MDOGO!biashara unayoiplan kuna huyu murzar-oil,na bakhressa,na METL wanafanya.pia wamefika hadi sudan na central africa sasa.we tafuta mtu wa marketing (au yoyote anaeweza ku-penetrate huko) akakusaidie kuchunguza what is happening.

lakini ni vigumu sana kushindana na hawa wa-asia


nashukuru mkuu..
najua hawa watu wanahusika
tatizo hata hawa wana import,hwazalishi wenyewe..
nahitaji info pia kuhusu hawa,ni nani anaeshikilia soko
kwa kiwango gani?(which percentage)?
 
nashukuru mkuu..
najua hawa watu wanahusika
tatizo hata hawa wana import,hwazalishi wenyewe..
nahitaji info pia kuhusu hawa,ni nani anaeshikilia soko
kwa kiwango gani?(which percentage)?
kwa sasa,ninaona kama METL ameshika sana soko la nje,wakati MURZAL OIL amekamata soko la ndani.....!percentagewise SINA BASES ZOZOTE KWAKWELI.

kuna kiwanda kingine ARUSHA wanatengeneza mafuta yanaitwa SUNFLOWER.hawa nao wamejipatia umaarufu kwa mafuta yao ya alizeti.

USHAURI;kama unaweza tengeneza mafuta ya alizeti.utakamata wengi sana.
 
Kwa soko la mafuta ya kupikia Murza-Oil yupo juu amekamata soko la Congo,Zambia,Malawi, Zimbabwe mpaka Botswana na Kaskazini mwa mipaka ya Tanzania. Huyu ndo mwenye Korie yupo juu sana hata yale mafuta ya Alizeti anatengeneza huyu huyu kwa mafuta bora ya Murza-Oil ni mazuri kuliko ya METL na ndo yenye soko zaidi.
 
Kwa soko la mafuta ya kupikia Murza-Oil yupo juu amekamata soko la Congo,Zambia,Malawi, Zimbabwe mpaka Botswana na Kaskazini mwa mipaka ya Tanzania. Huyu ndo mwenye Korie yupo juu sana hata yale mafuta ya Alizeti anatengeneza huyu huyu kwa mafuta bora ya Murza-Oil ni mazuri kuliko ya METL na ndo yenye soko zaidi.
MARKETING MANAGER WA MURZ-OIL tumeshampata!....:D:D

haya the-boss,kazi kwako
 
Kuna information nazitafuta kwenye mitandao.....
sizipati,kama kuna mtu anajua ni mitandao ipi
naweza kuzipata naomba msaada tafadhali....

kwanza nahitaji info kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia
kwa Tanzania,Kenya na Uganda.
--ukubwa wa soko(market cap)
--ni kampuni gani zina dominate
--ukubwa wa soko wa miji mikubwa
Dar,Nairobi,Kampala...
--Kwa kiwango gani local productions
ina shika soko kulinganisha na imports??
na kwa ujumla ni biashara ya thamani gani kwa mwaka.???

mwenye kujua anisaidie.....

Sikukatishi tamaa lakini ukweli ni kwamba kama unataka hizi information kwa usahihi wake ni ngumu sana kuzipata kwenye mtandao/internet.Watz bado hatujui kutunza takwimu vizuri na kwenye internet ndio kabisaaaa bado sana hii teknolojia.
kama unafanya reseacrh academic au business mie naona lazima uende kwenye taasisi inayohusiana na vitu unavotaka.
kwa kuanzia nenda Wizara ya viwanda na biashara halafu uende Brela wanaosajili makampuni huko utapata list unayoitaka tehn utawafuatilia moja baada ya nyingine.
kwa kupanua zaidi wigo afrika mashariki itabidi uende EAC na kuulizia kitengo cha biashara.
 
MARKETING MANAGER WA MURZ-OIL tumeshampata!....:D:D

Akitaka mzigo mwingi kama truck 20 anione maana kupata mali ya Murza-oil ni shuhuli wanahudumiwa kwanza wanao fahamika kama sabuni zile za Puff watu huwa wanagombaniana kuzipata ni shughuli pevu.
 
mimi navyoona kama unataka kufanya biashara hii kama alivyosema Geof hapo juu jikite zaidi kwenye mafuta ya alizeti utafanikiwa maana yanakuja juu sana due to low cholesterol. Kule Singida yanauzwa bei rahisi sana lakini soko hawana. ukiweza kujiestablish hiyo itakutoa mtu wangu.
 
Akitaka mzigo mwingi kama truck 20 anione maana kupata mali ya Murza-oil ni shuhuli wanahudumiwa kwanza wanao fahamika kama sabuni zile za Puff watu huwa wanagombaniana kuzipata ni shughuli pevu.

mkuu...
naona ntakutafuta kwa more infos...
kuna vitu vingi nahitaji kuvijua.
 
mimi navyoona kama unataka kufanya biashara hii kama alivyosema Geof hapo juu jikite zaidi kwenye mafuta ya alizeti utafanikiwa maana yanakuja juu sana due to low cholesterol. Kule Singida yanauzwa bei rahisi sana lakini soko hawana. ukiweza kujiestablish hiyo itakutoa mtu wangu.

carmel Singida mjini au Wilayani?
 
kuna makampuni makubwa kenya BIDCO inaongoza wanatarajia kufungua kiwand akikubwa saana Uganda walipewa kisiwa kinaitwa kalangala kwa ajili ya kulima palm nadhani production itaanza this year,angalia tena KAPA OIL NI wakenya ni kampuni kuwa tena saana, Kwa UGANDA kampuni kuwa inaitwa MUKWANO nadhani hata hapo dar wanakiwanda
wnazalisha mafuta kwa wingi saana,

Kwa tz nadhani umehspata
all the best brother
 
Mkuu pole na majukumu.
Kimsingi kupata info kama hizo katika net hasa kuhusu bongo ni kazi sana ila unaweza kupitia economic report za world bank, BOT, kitengo cha uwekezaji ama any chanzo kitoacho report hizo.
Ila kwa urahisi ni kwenda Bureau of Statistics pale posta hapo wana kila kitu unachohitaji. Ili nivyema nikakupa tahadhari kuwa info nyingine huwa classified si zote ni rahis kuzipata kwani nyingine sio public document, sasa akili mkichwa nenda then utatupa mrejesho.
wishing you all da best!
 
Mukwano yes; wahindi hawa nafikiri walinunua kile kiwanda cha Boby soap cha marehemu Shabiki maarufu wa Yanga!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom