The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Kuna information nazitafuta kwenye mitandao.....
sizipati,kama kuna mtu anajua ni mitandao ipi
naweza kuzipata naomba msaada tafadhali....
kwanza nahitaji info kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia
kwa Tanzania,Kenya na Uganda.
--ukubwa wa soko(market cap)
--ni kampuni gani zina dominate
--ukubwa wa soko wa miji mikubwa
Dar,Nairobi,Kampala...
--Kwa kiwango gani local productions
ina shika soko kulinganisha na imports??
na kwa ujumla ni biashara ya thamani gani kwa mwaka.???
mwenye kujua anisaidie.....
sizipati,kama kuna mtu anajua ni mitandao ipi
naweza kuzipata naomba msaada tafadhali....
kwanza nahitaji info kuhusu biashara ya mafuta ya kupikia
kwa Tanzania,Kenya na Uganda.
--ukubwa wa soko(market cap)
--ni kampuni gani zina dominate
--ukubwa wa soko wa miji mikubwa
Dar,Nairobi,Kampala...
--Kwa kiwango gani local productions
ina shika soko kulinganisha na imports??
na kwa ujumla ni biashara ya thamani gani kwa mwaka.???
mwenye kujua anisaidie.....