CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,912
wanajanvi mimi niko Moshi na nina kaincubators kangu sasa nilitaka kuanza biashara ya kutotoresha vifaranga na kuwauzia wafugaji mtaani kwangu, sasa nashindwa kujua ni wapi nipate kuku parents wa kutaga mayai ya kuatamisha, nahitajio majogoo na majike.
Swali ni je nitapata Vifaranga Parents? au kuku parents ni lazima wawe wakubwa tu? na wanapatikana wapi? ila kama ningepata vifaranga ingekuwa bora zaidi
Swali ni je nitapata Vifaranga Parents? au kuku parents ni lazima wawe wakubwa tu? na wanapatikana wapi? ila kama ningepata vifaranga ingekuwa bora zaidi