mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
ndugu wakuu wa kambi viongozi wa msafara...kama nilivyoandika hapo juu...application hii ya ZIP MANAGER nimekua nayo karibia katika kila simu (smart phone) ninayonunua tatizo nashindwa kujua ni ya kazi gan labda...nIkiifungua ndan nakuta vitu kama
activenotes
attachements etc etc nikibonyeza option nakutana na vitu kama open,new archieve (kwanza archieve maana yake nini) yaan inanivuruga kwa kwel msaada ndugu wadau tafadhali,simu nimeinunua ghali bana i wanna know it inn and out
activenotes
attachements etc etc nikibonyeza option nakutana na vitu kama open,new archieve (kwanza archieve maana yake nini) yaan inanivuruga kwa kwel msaada ndugu wadau tafadhali,simu nimeinunua ghali bana i wanna know it inn and out