K KASRI Member May 2, 2009 93 22 Dec 21, 2010 #1 wandugu, Kwa anayeweza nielekeza naomba kufahamu wapi wanaziuza hizi machine. Natanguliza shukurani
M mimi-soso Senior Member Feb 11, 2008 160 41 Jan 3, 2011 #2 nakumbuka baba yangu alinunuaga TFA miaka hiyo ya zamani sijui kama bado zipo. TFA ni Tanganyika Farmers Association, jaribu kuwatafuta uulizie
nakumbuka baba yangu alinunuaga TFA miaka hiyo ya zamani sijui kama bado zipo. TFA ni Tanganyika Farmers Association, jaribu kuwatafuta uulizie