Msaada Please, Simu inapoteza Network

msuya4real

Member
Oct 14, 2016
76
27
Naomba mwnye ufumbuzi na hili tatzo anisaidie Simu yangu Inapoteza network yenyewe tu, Unashangaa mnara Wa network uko full Baada ya Muda unaporomoka na kupoteza network kabisa kisha inarudi, Naomba mwenye kujua hili tatzo anisaidie mawazo au nimpate Fundi gani wa kunirekebishia hili tatzo
 
Naomba mwnye ufumbuzi na hili tatzo anisaidie Simu yangu Inapoteza network yenyewe tu, Unashangaa mnara Wa network uko full Baada ya Muda unaporomoka na kupoteza network kabisa kisha inarudi, Naomba mwenye kujua hili tatzo anisaidie mawazo au nimpate Fundi gani wa kunirekebishia hili tatzo
Simu gan sasa? Nokia tochi, Siemen, Iphone, Samsung, Tecno au simu ya mezani? Au ni model ipi? Tatizo hauko serious na ulichoulza na ndio maana mtu unashindwa pa kuanzia kutoa msaada au ushauri....
 
Simu gan sasa? Nokia tochi, Siemen, Iphone, Samsung, Tecno au simu ya mezani? Au ni model ipi? Tatizo hauko serious na ulichoulza na ndio maana mtu unashindwa pa kuanzia kutoa msaada au ushauri....
Simu ni Smartphone Aina ya Lenovo Vibe X2pt5
 
Angalia setting kwenye preferred network kama umeweka 3G/4G only weka auto
 
Huenda eneo ulipo hakuna network au inapatikana sehemu sehemu jaribu kupanda juu ya mti kama ukiona inaongezeka jua eneo hilo network inapatikana kwa shida.

Huenda simu yako ina uwezo mdogo wa kunasa mawimbi ya mawasiliano jaribu ku set radio band kama edge

Huenda umechagua 3g au 4g katika eneo ambalo hazipatikani jaribu seti 2g

Huenda simu yako ni fake hivo inatatizo la mawimbi kunasa kwa shida hilo tatizo hua kwa simu fake

Huenda vibati na terminal za minara ya network katika simu yako vimeachia humo ndani.jaribu fungua simu na kugusisha hivo vibati vizuri katika simu

Pili weka maelezo ya kutosha ili uweze saidiwa kama
Upo eneo gani?
Unatumia mtandao gani?
Tatizo linatokea kwa lain zote?
Umejaribu kubadili mazingira ikafanya hivo hivo?
 
Mimi natumia galaxy A3(2015). Shida ipo kwenye Voda, net inasoma H+ lkn haiwezi kufungua website. Whtsapp na fb inafanya. Utube inafungua pia japo kwashid....ikifanikiwa kufungua video nikaipeleka tubemate speed yakupakua inafika hadi 5mbs....faster! Naomba wataalam munisaidie pia!
 
Mimi natumia galaxy A3(2015). Shida ipo kwenye Voda, net inasoma H+ lkn haiwezi kufungua website. Whtsapp na fb inafanya. Utube inafungua pia japo kwashid....ikifanikiwa kufungua video nikaipeleka tubemate speed yakupakua inafika hadi 5mbs....faster! Naomba wataalam munisaidie pia!
Jaribu ku clear all saved data katika browser na YouTube
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom