Msaada please: Samsung galaxy siii

Godlisten Masawe

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
738
283
Wana Tech habari zenu;
nina samsung galaxy sIII nimesahau sreen lock na email (gmail), ila imeniletea option inasema
"If you forget your Google sign-in details, you can enter your backup PIN to unlock"
hizo back up PIN sina kwasababu hii simu niliinunua mkononi kwa mtu na huyo mtu siwezi onana naye yeye anaishi Nairobi mimi naishi arusha.
kama kuna njia yeyote naweza kuitumia naomba msaada wenu wana jamvi
 
Nenda kwenye PC na open ur email via PC kama umesahau pin au password nenda forgot my password ukareset.
 
Wana Tech habari zenu;
nina samsung galaxy sIII nimesahau sreen lock na email (gmail), ila imeniletea option inasema
"If you forget your Google sign-in details, you can enter your backup PIN to unlock"
hizo back up PIN sina kwasababu hii simu niliinunua mkononi kwa mtu na huyo mtu siwezi onana naye yeye anaishi Nairobi mimi naishi arusha.
kama kuna njia yeyote naweza kuitumia naomba msaada wenu wana jamvi

Mawasiliano yaliokuwepo leo Tanzania inaskitisha kusema hivyo. Si useme kweli tu, ya wizi?
 
Mawasiliano yaliokuwepo leo Tanzania inaskitisha kusema hivyo. Si useme kweli tu, ya wizi?
Ya wizi wewe ndio uliyeiba? hacha undondocha wewe, mimi ni mfanyabiashara, hii simu aliniuzia dada muudumu wa hotel nairobi alikua na mashida yake nikamttatulia
 
Ya wizi wewe ndio uliyeiba? hacha undondocha wewe, mimi ni mfanyabiashara, hii simu aliniuzia dada muudumu wa hotel nairobi alikua na mashida yake nikamttatulia

Na hiyo hoteli huijui jina wala anuani yake? Ulikuwa unapita njia? Hata kwenye stakabadhi zao hakuna namba za simu?

Huyo muhudumu kaiba hiyo simu na wewe umenunuwa mali ya wizi.
 
Ingia google u-search how to bypass screen lock on galaxy s3 then utapata tutorial za namna ya kufanya but its my guess itafuta documents kama vile picha,music au hata contact, that said ni vizuri kutoa line na memory card kipindi ina-reboot.. ninatumia simu ningekuwekea process
 
Bonyeza kwa nguvu batan ya kuzimia/kuwashia, ya sauti na Navigation key(ya kat kat ) zote bonyeza kwa wakat mmoja mpaka cm ijzme, afta hapo itajreset upyaaa. Na itaaaanza upya.
 
Back
Top Bottom