Masumin printways au zamzam, haya maduka yapo mnazi mmoja police post upande wa pili wa barabara kuna nbc bank, shuka na hiyo road then ulizia hayo maduka yapo usawa wa barabara kulia kwako
Masumin na hapo Hydery Plaza wanauza ghali sana , Nenda pale Veta Chang'ombe opposite
kuna duka linauza hizo copier machine na ni imara mimi nilinunua hapo na mashine ina miiaka miwili sasa na haijasumbua
Masumin na hapo Hydery Plaza wanauza ghali sana , Nenda pale Veta Chang'ombe opposite
kuna duka linauza hizo copier machine na ni imara mimi nilinunua hapo na mashine ina miiaka miwili sasa na haijasumbua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.