Msaada please..kwa anayeifahamu bei ya form ya ku-comfirm chuo cha UDSM

Apollo

JF-Expert Member
May 26, 2011
4,920
3,211
TCU wamenipanga udsm, ningependa kujua bei ya hiyo form ya kujiunga na chuo. Naomba sana kama unajua nijuze na mimi ili nijipange.
 
Nani kakuambia kuna Form ya Kuconfirm na Inatakiwa Ulipie!! hiv uko sawa kwel ww?
jamani tuwe waungawana ndio maana akaomba msaada ina maanisha hafahamu. ninavyofahamu mimi hakuna malipo ya fomu za kucpnfirm na huu utaratibu ulitumika kwa wale wenye multiple admission ambayo tcu wameindoa kwa kuchagua watu chuo kimoja tu . la msingi nikujua tarehe ya kufungua chuo ili uweze kupata admission letter yako hilo jambo la maana (tarehe ya kufungua chuo jitahidi kuingia website yao ambayo ni University of Dar es Salaam - Home - kwa maelezo zaidi)
 
jamani tuwe waungawana ndio maana akaomba msaada ina maanisha hafahamu. ninavyofahamu mimi hakuna malipo ya fomu za kucpnfirm na huu utaratibu ulitumika kwa wale wenye multiple admission ambayo tcu wameindoa kwa kuchagua watu chuo kimoja tu . la msingi nikujua tarehe ya kufungua chuo ili uweze kupata admission letter yako hilo jambo la maana (tarehe ya kufungua chuo jitahidi kuingia website yao ambayo ni <a href="http://www.udsm.ac.tz/" target="_blank">University of Dar es Salaam - Home -</a> kwa maelezo zaidi)
<br />
<br />
endelea na uungwana huu daima si unajua mijitu mingine sijui ikoje mtu anauliza lenyewe linam-attack badala ya kumjibu vizuri.MUNGU AKUBALIKI
 
Nani kakuambia kuna Form ya Kuconfirm na Inatakiwa Ulipie!! hiv uko sawa kwel ww?
hapana ndugu yangu. Kumbe nimemezeshwa sumu. Kunamtu ameniambia ni shilingi 30000 nilichanganya sana. But ningefurahi sana kama ungekuwa mstaarabu na mwelewa kwa hilo.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
endelea na uungwana huu daima si unajua mijitu mingine sijui ikoje mtu anauliza lenyewe linam-attack badala ya kumjibu vizuri.MUNGU AKUBALIKI
we acha tu!
 
jamani tuwe waungawana ndio maana akaomba msaada ina maanisha hafahamu. ninavyofahamu mimi hakuna malipo ya fomu za kucpnfirm na huu utaratibu ulitumika kwa wale wenye multiple admission ambayo tcu wameindoa kwa kuchagua watu chuo kimoja tu . la msingi nikujua tarehe ya kufungua chuo ili uweze kupata admission letter yako hilo jambo la maana (tarehe ya kufungua chuo jitahidi kuingia website yao ambayo ni <a href="http://www.udsm.ac.tz/" target="_blank">University of Dar es Salaam - Home -</a> kwa maelezo zaidi)
nashukuru sana. Mungu akubariki sana. Tena sana.
 
TCU wamenipanga udsm, ningependa kujua bei ya hiyo form ya kujiunga na chuo. Naomba sana kama unajua nijuze na mimi ili nijipange.

Kumbe bado ni kichinchiri, ndio maana unanichanganya kwenye vi post vyako.
 
Kumbe bado ni kichinchiri, ndio maana unanichanganya kwenye vi post vyako.
heheheee. :) Faiza mimi huwa napenda kale ka ubishi ketu. Hata hivyo ndio kuelimishana huko. Thanx. :)
 
hapana ndugu yangu. Kumbe nimemezeshwa sumu. Kunamtu ameniambia ni shilingi 30000 nilichanganya sana. But ningefurahi sana kama ungekuwa mstaarabu na mwelewa kwa hilo.

Nashukuru ndugu, nmekuelewa na ntajitahd..
hakuna kitu km hcho kama ni umepata UDSM Fanya kusubiri Joining Instruction form pamoja na admission Letter na huwa zinaanza kutolewa chuo pale 2 weeks before hamjafungua. First Year mtatakiwa Kureport chuo Jmosi Tar 01/10 kwa ajili ya Regstration.. Ni hayo tuu kwa sasa!! Karibu UDSM Kijana
 
Nashukuru ndugu, nmekuelewa na ntajitahd.. <br />
hakuna kitu km hcho kama ni umepata UDSM Fanya kusubiri Joining Instruction form pamoja na admission Letter na huwa zinaanza kutolewa chuo pale 2 weeks before hamjafungua. First Year mtatakiwa Kureport chuo Jmosi Tar 01/10 kwa ajili ya Regstration.. Ni hayo tuu kwa sasa!! Karibu UDSM Kijana
<br />
<br />
 
Nashukuru ndugu, nmekuelewa na ntajitahd.. <br />
hakuna kitu km hcho kama ni umepata UDSM Fanya kusubiri Joining Instruction form pamoja na admission Letter na huwa zinaanza kutolewa chuo pale 2 weeks before hamjafungua. First Year mtatakiwa Kureport chuo Jmosi Tar 01/10 kwa ajili ya Regstration.. Ni hayo tuu kwa sasa!! Karibu UDSM Kijana
<br />
<br />
asante sana ndugu. :)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom