rudia mara nyingi watakutumia tumkuu Daby kuna option ya kusend code kwenye email,kila niki click hio code haitumwi kwenye email wala simu
rudia mara nyingi watakutumia tu
If you're not able to log into your Instagram account
Nasubiri....nikirudi hewani nitakuambia lol
Nia yangu nikukusaidia tu mkuu na sio vinginevyo,hahahahahahha mkuu nipo kule kuchungulia ma ex wangu na watu wengine,nitakupaje sasa uanze udukuzi hahahaha
akituma naomba unitagi mkuuUnatumia username gani?