mailimoja77
Member
- May 18, 2016
- 20
- 8
Habari zenu ndugu!
Naombeni Msaada wa kujuzwa ipi ni pikipiki nzuri kati ya FEKON, GSM na SAN MOTO.
Naombeni Msaada wa kujuzwa ipi ni pikipiki nzuri kati ya FEKON, GSM na SAN MOTO.
yan umeona uje na vitu vya ajabu wakati kuna mali nzuri kwanzia muonekano mngurumo wa injini ubora na nguvu .....
kuna yamaha ybr 125
honda ace 125
hutojutia ela yako
yan umeona uje na vitu vya ajabu wakati kuna mali nzuri kwanzia muonekano mngurumo wa injini ubora na nguvu .....
kuna yamaha ybr 125
honda ace 125
hutojutia ela yako
Hizo alizo taja mwenzio bei yake ni milioni mbili kushuka chini wakati hizo ulizo mtajia amejitahidi saana anapata injini tuu.yan umeona uje na vitu vya ajabu wakati kuna mali nzuri kwanzia muonekano mngurumo wa injini ubora na nguvu .....
kuna yamaha ybr 125
honda ace 125
hutojutia ela yako
Habari zenu ndugu!
Naombeni Msaada wa kujuzwa ipi ni pikipiki nzuri kati ya FEKON, GSM na SAN MOTO.[/QUOT
Dayun ni kali sana na bei m2 tu. Gia 5. Nzuri kuliko Boxer
Kila pkpk ina mazingira yake taja location yako ila san moto iwe milima tambalale ipo tuu inahimir na fekon sana tambalale utaipenda gsm ipo vzur tambalale miliman hakuna kitu na kuchoka inachoka mnooo ko urudishiaj wake wa kurepair vit huwa inasumbuaHabari zenu ndugu!
Naombeni Msaada wa kujuzwa ipi ni pikipiki nzuri kati ya FEKON, GSM na SAN MOTO.