Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,066
- 18,348
Habari wanajamvi
Niliacha laptop yangu nyumbani sasa mtoto amechezea sasa screen imegeuka chini juu! yaani inavyodisplay picha zake zote ndio iko hivyo.Namimi bado sio mzoefu sana
Ata sielewi amebonyeza wapi!
Naombeni msaada wenu,kwani kuna kazi inabidi nimalizie niitume
Ahsante
@ChiefMkwawa
Niliacha laptop yangu nyumbani sasa mtoto amechezea sasa screen imegeuka chini juu! yaani inavyodisplay picha zake zote ndio iko hivyo.Namimi bado sio mzoefu sana
Ata sielewi amebonyeza wapi!
Naombeni msaada wenu,kwani kuna kazi inabidi nimalizie niitume
Ahsante
@ChiefMkwawa