Yes sir, irudishe kwakuwa Una warantyWaungwana simu yangu sasa ni kama miezi miwili network ipo down sehemu ambazo simu zingine zinasoma fresh.
Nimeanza kuona shida tangu nilipofanya system update..kwa sasa ninatumia HiOS v2.2.0
Can somebody please out there help?
Tecno ndo walivyo, ukifanya updates lazma kuwe na kasoro hawako makini, wana forum yao Tecno spot unaweza kuwachek humo wakakupa muongozo zaidi ya hapa, au tafuta stock rom ya mwanzo uiflash itakuwa freshWaungwana simu yangu sasa ni kama miezi miwili network ipo down sehemu ambazo simu zingine zinasoma fresh.
Nimeanza kuona shida tangu nilipofanya system update..kwa sasa ninatumia HiOS v2.2.0
Can somebody please out there help?