Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

Ni mimi fanya kuni pm
Jamani kuna mkaka niliwahi kusafiri nae mwanza 2 bukoba alikuwa ananukia ki ukweli nilidata ....natamani nimuulize jina la pafyum aliyotumia nashidwa! Natamani nimuombe no nashidwa......kama yuko humu namtafuta
 
Tafuta sauvage dior sema bei inachangamka.mi natumia La Nuit De L'Homme Yves Saint Laurent

Kwa sasa ni nzuri sna na compliments utapata nyingi sema bongo ni lak2.7 ila kama mtu anasafiri toka south afrika bei nzuri kwenye 1.9 hiv maana nliichukua kwa hela ya wasouth
laki 2.5 perfume tu, huu si mtaji wa mtu mwenye akiri timamu kabisaama huko kwenu south mambo yapo good, bongo watu tuna njaa yaan, perfume ya elf10 hapo mtu kajitahd sana!
 
Jamani kuna mkaka niliwahi kusafiri nae mwanza 2 bukoba alikuwa ananukia ki ukweli nilidata ....natamani nimuulize jina la pafyum aliyotumia nashidwa! Natamani nimuombe no nashidwa......kama yuko humu namtafuta
Aiseeee hongera sana umenipata kumbe ndo wewe sema nami nilitakaga nikuombe namba nikaona sooo karibu pm
 
Wanyama wameubwa kwa asili ya kutambuana kwa harufu zao asili.

1. Mwili hutoa arufu tofauti kama za mvuto wa kimapenzi kwa wote mwanamke na mwanaume kuna haruru ambayo kiasili ukiisikia inasisimua vichocheo vya mwili wako kwenye mapenzi

2. Kuna harufu ambazo mwili hutoa mtu anapokuwa na hasira na hivyo kama mtaalamu ukiisikiatuu hata kama muhusika anaziga anacheka waweza kujua kuwa ndani ya mwili anakaribia kupasuka hivyo ukae naye mbali

3. Kuna harufu zinatoka zikimaanisha ishara ya maginjwa mbalimbali , hivyo kwa tabibu mtaalamu anaweza kukunusa na kujua aina halisi ya uginjwa mgonjwa anaoumwa hata kama mgojwa mwenyewe hajui wala hawezi kujua ni kiungo gani katika mwili kinaumwa.

4. Marashi ,manukato, Perfume zimetengenezwa kwa ajili ya MAITI mbayo tayari mifumo ya arufu ya asili imeisha na sasa anaanza kuoza kwa kushambuliwa na bakteria hivyo harufu hizo kali hutumika kwa muda wakati wa kumuaga isiwe kero kwa wanaomuaga

5. Sasa wewe jitu zima kabisa tena sa nyingine dume kabisa umejitundika marashi ya harufu kali kuliko ya maiti tena unaingia sehemu za uma kama kwenye usafiri ama mikusanyiko na kutawala hali ya hewa na maarufu yako ya kero umekuwa maiti?

6. Unatakiwa uwe msafi tuu na kujipaka mafuta ya kawaida yasio na harufu kali ili kuupa mwili uwezo wake wa kutoa mawasiliano ya kibaolojia ya harufu.
 
wana JF, kuna ile unakutana na mtu yaaan kwa jinsi anavyonukia tu unaanza kuwazia akilini "kama huyu si mtumishi wa bank basi atakuwa plan international ama kwenye wizara flan ivi serikalini" ila baada ya udadisi wa karibu unakuja kugundua kumbe ni mtu wa kawaida tu,

Naitaji kufahamu aina ya perfume murua ambayo nikiitumia itanifanya kuwa mkaka mtanashati ninaye nukia vizuri(itapendeza kama ukisema na bei yake).
Kumbe watumishi wa bank,plan international na wizarani si watu wa kawaida?!!
 
laki 2.5 perfume tu, huu si mtaji wa mtu mwenye akiri timamu kabisaama huko kwenu south mambo yapo good, bongo watu tuna njaa yaan, perfume ya elf10 hapo mtu kajitahd sana!
Maisha ni kupanga na kuchagua kunawatu na wafahamu wanahonga hyo hela na maisha yake ya kawaida tu,unless kama ww ndo akili sio timamu
 
Ebu njoo in bobo dear
Jamani kuna mkaka niliwahi kusafiri nae mwanza 2 bukoba alikuwa ananukia ki ukweli nilidata ....natamani nimuulize jina la pafyum aliyotumia nashidwa! Natamani nimuombe no nashidwa......kama yuko humu namtafuta
 
Lynx effect
Man's not hot.....


Cheki LYNX BLACK mkuu....
Skrraaaaa pooooppoooww
Ya don know!
wana JF, kuna ile unakutana na mtu yaaan kwa jinsi anavyonukia tu unaanza kuwazia akilini "kama huyu si mtumishi wa bank basi atakuwa plan international ama kwenye wizara flan ivi serikalini" ila baada ya udadisi wa karibu unakuja kugundua kumbe ni mtu wa kawaida tu,

Naitaji kufahamu aina ya perfume murua ambayo nikiitumia itanifanya kuwa mkaka mtanashati ninaye nukia vizuri(itapendeza kama ukisema na bei yake).
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom